FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ndo muache kuvuta sasa, mmekaa kusfia sfia maea freekick mara penalt utafikir mazombie,hana jipya atabaki wa 2 kwa sasa,ila muda wake kutamba,cr7 kamuachia ligi kabaki alone hata yeye mwnywe kasema kammiss

Sent using Brain
Duh kuna watu mnaujasiri kupita kiasi
 
Hapa cr7 anaingiaje?

Messi anawatesa kiasi hicho asee! Alisema juzi yeye mpira anaocheza ni kwaajili ya familia yake, na wale watu ambao wanafurahia,
Kwa msio mpenda muwe na utulivu kidogo..

Basi utulie dawa iingie
Ndo muache kuvuta sasa, mmekaa kusfia sfia maea freekick mara penalt utafikir mazombie,hana jipya atabaki wa 2 kwa sasa,ila muda wake kutamba,cr7 kamuachia ligi kabaki alone hata yeye mwnywe kasema kammiss

Sent using Brain

Sent by anonymous user
 
Bado goli 51 kumvuka pele.. So approximately 1 season.. Maana messi ni kawaida yake kudeliver 40+ goals...

He will rewrite the history

Sent by anonymous user
Kwamba akmvuka pele anakua ndo the GOAT ..
Messi dummies bhana,Pele ni zaidi ya magoli.
Hadi sasa hajamzid hta mpinzani wa pele, Muargentina mwenzie maradona.
Some records hazivunjiki

Sent using Brain
 
Hapa cr7 anaingiaje?

Messi anawatesa kiasi hicho asee! Alisema juzi yeye mara ira anaocheza ni kwaajili ya familia yake, na wale watu ambao wanafurahia,
Kwa msio mpenda muwe na utulivu kidogo..

Basi utulie dawa iingie

Sent by anonymous user
Ah ah ah ah

Sent using Brain
 
Pumbavu huna hoja, nakupuuza
Kwamba akmvuka pele anakua ndo the GOAT ..
Messi dummies bhana,Pele ni zaidi ya magoli.
Hadi sasa hajamzid hta mpinzani wa pele, Muargentina mwenzie maradona.
Some records hazivunjiki

Sent using Brain

Sent by anonymous user
 
Injiniaaa soma hiyoooooo...

Mvinyo unavyozidi kulala ndio hivyo unavyozidi kuwa na ubora wa hali ya juu...

Same applies here
Huyu kiumbe ameshindikana kamanda wangu...mchezaji bora kuwahi kutokea katika soka! Anatupatia raha ambayo hatukuwahi kuipata kwa mchezaji yeyote waliopita na wa sasa. Mungu aendelee kumpa afya njema na umri mrefu wa kuishi!
Messi: "I'm going to delay my retirement as long as I can. I love football since I was born."

Sent by anonymous user

Sent by anonymous user
 
Kwamba akmvuka pele anakua ndo the GOAT ..
Messi dummies bhana,Pele ni zaidi ya magoli.
Hadi sasa hajamzid hta mpinzani wa pele, Muargentina mwenzie maradona.
Some records hazivunjiki

Sent using Brain
Ignorance could be really daring!

- KANA -
 
Ndo muache kuvuta sasa, mmekaa kusfia sfia maea freekick mara penalt utafikir mazombie,hana jipya atabaki wa 2 kwa sasa,ila muda wake kutamba,cr7 kamuachia ligi kabaki alone hata yeye mwnywe kasema kammiss

Sent using Brain
Shabiki wa ole guna subir kupigwa mbele na nyuma na Messiah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom