FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Nimekaa muda wote nasikiliza kipindi cha michezo nisikie wachambuzi watazungumziaje lile tamasha alilofanya Messi jana usiku lakini nimejikuta napata hasira baada ya mchambuzi kuitia kapuni hiyo habari kwa sababu dhaifu aliyotoa, eti Messi na Ronaldo wamejiweka katika ulimwengu wa kipekee hivyo Messi kufanya makubwa jana ni swala la kawaida hivyo wakaruka hiyo taarifa na kuendelea na taarifa nyingine

Mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe
 
Ninadhani kuna haja FIFA na UEFA wakaandaa tuzo maalumu kwa ajili ya Messi

Kumshukuru kwa kucheza mpira DUNIANI


Tuzo ya heshima ya mchezaji bora wa muda wote (GOAT)

Iundwe tume ya kusimamia heshima ya Messi ikitokea kafananishwa na binadamu yoyote ichukuliwe sheria kali

Madactor wachukue mbegu za Messi wazifanyie upandikizaji kwa wanawake ili akina Messi wengne wazaliwe



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninadhani kuna haja FIFA na UEFA wakaandaa tuzo maalumu kwa ajili ya Messi

Kumshukuru kwa kucheza mpira DUNIANI


Tuzo ya heshima ya mchezaji bora wa muda wote (GOAT)

Iundwe tume ya kusimamia heshima ya Messi ikitokea kafananishwa na binadamu yoyote ichukuliwe sheria kali

Madactor wachukue mbegu za Messi wazifanyie upandikizaji kwa wanawake ili akina Messi wengne wazaliwe



Sent using Jamii Forums mobile app
Na iwe ni dhambi kubwa sana kumfananisha na mchezaji yoyote Yule Kwa kuwa hakuna hata anaemkaribia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninadhani kuna haja FIFA na UEFA wakaandaa tuzo maalumu kwa ajili ya Messi

Kumshukuru kwa kucheza mpira DUNIANI


Tuzo ya heshima ya mchezaji bora wa muda wote (GOAT)

Iundwe tume ya kusimamia heshima ya Messi ikitokea kafananishwa na binadamu yoyote ichukuliwe sheria kali

Madactor wachukue mbegu za Messi wazifanyie upandikizaji kwa wanawake ili akina Messi wengne wazaliwe



Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂😂
 
Jomba huku hatubet tafuta uzi wa wazee wa kuweka mzigo. Umepotea njia huku
Wakuu wekeni mikeka basi au weekend imeondoka na mitaji yote,leo nina mtaji kama laki tatu hivii wakuu wekeni odd hata 2

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu weken mikeka basi, au wekend imeondoka na mitaji yote, leo nina mtaji kama laki mbili hivi naomben odd za kibabe 2 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20190318_010901.jpeg


Sent using Unknown device
 
Antoine Griezmann apologizes to Barcelona for possible summer switch to Nou Camp 5 hours ago 2548 views by Akan Anwankwo - Antoine Griezmann has made himself available for a summer move to Barcelona - The Frenchman rejected a move to the Camp Nou on the eve of the World Cup - Griezmann is reportedly getting frustrated at Atletico Madrid Read more: Griezmann apologizes to Barcelona for a possible summer switch to Camp Nou
 

Ingia hata page ya shaffi dauda, utakuta ronaldo anampamba sana kuliko mwenye mpira wake King Messi...ingia page yake uone ameweka record zake baada ya ile hatrick....mchambuzi hatakiwi kuwa bias
Wachambuzi wa mpira bongo wengi ni uchwara halafu hawaezi hata kuficha ushabiki wao. Kama uyo shafii ndo takataka kabisa akuna kitu pale..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninadhani kuna haja FIFA na UEFA wakaandaa tuzo maalumu kwa ajili ya Messi

Kumshukuru kwa kucheza mpira DUNIANI


Tuzo ya heshima ya mchezaji bora wa muda wote (GOAT)

Iundwe tume ya kusimamia heshima ya Messi ikitokea kafananishwa na binadamu yoyote ichukuliwe sheria kali

Madactor wachukue mbegu za Messi wazifanyie upandikizaji kwa wanawake ili akina Messi wengne wazaliwe



Sent using Jamii Forums mobile app
Ingepaswa FIFA wajenge sanamu lake kabisa nje ya ofisi zao ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom