BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Nimekaa muda wote nasikiliza kipindi cha michezo nisikie wachambuzi watazungumziaje lile tamasha alilofanya Messi jana usiku lakini nimejikuta napata hasira baada ya mchambuzi kuitia kapuni hiyo habari kwa sababu dhaifu aliyotoa, eti Messi na Ronaldo wamejiweka katika ulimwengu wa kipekee hivyo Messi kufanya makubwa jana ni swala la kawaida hivyo wakaruka hiyo taarifa na kuendelea na taarifa nyingine
Mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe