FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

mzee acha mapenzi binafsi.

twende qa takwimu. ivi unajua dembele ndani ya msimu wake wa kwanza kafanya mambo makubwa(magoli na asist) kuliko naymar msimu wake wa kwanza???

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Mkuu unatazama msimu wa kwanza, vipi kuhusu Suarez msimu wake wa kwanza? Ukizungumzia left wing kwa timu kama Barca ukaweka Dembele na Neymar huwezi ukasema Dembele yupo vyema.

Tazama Messi kipindi akiwa majeruhi kisha tazama Neymar alivyokuwa akiokoa jahazi, aliwahi kusaidia timu ikailaza Madrid 4 kama sio 3 pale Bernabeu.

Kumbuka matokeo ya Barca na PSG 6-1, kumbuka Game ya Barca na Bayern n.k Neymar ni mwepesi sana na ni mzuri ktk ufungaji, ata kama beki zikajipanga kwa namna gani anaweza akaamua alazimishe apite hapohapo kama Messi, hii ni tofauti Dembele.

Kwa kumalizia ni kuwa, hivi unadhani klabu zote hizo ulaya kutangaza Dau kubwa kwa Neymar unadhani wao hawana akili, sisi tunaufahamu mpira kuliko Guardiola, Perez n.k?
 
Madrid yupo vibaya sana huku, madogo wamekosa penati, magoli mawili wamefunga ila refa amesema ni offside.

Dakika ya 30, Madrid kashapigwa 1.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Sasa Mkuu unatazama msimu wa kwanza, vipi kuhusu Suarez msimu wake wa kwanza? Ukizungumzia left wing kwa timu kama Barca ukaweka Dembele na Neymar huwezi ukasema Dembele yupo vyema.

Tazama Messi kipindi akiwa majeruhi kisha tazama Neymar alivyokuwa akiokoa jahazi, aliwahi kusaidia timu ikailaza Madrid 4 kama sio 3 pale Bernabeu.

Kumbuka matokeo ya Barca na PSG 6-1, kumbuka Game ya Barca na Bayern n.k Neymar ni mwepesi sana na ni mzuri ktk ufungaji, ata kama beki zikajipanga kwa namna gani anaweza akaamua alazimishe apite hapohapo kama Messi, hii ni tofauti Dembele.

Kwa kumalizia ni kuwa, hivi unadhani klabu zote hizo ulaya kutangaza Dau kubwa kwa Neymar unadhani wao hawana akili, sisi tunaufahamu mpira kuliko Guardiola, Perez n.k?
mapenz binafsi yanakuathiri.

yan unangalia mech moja na psg and coment yako hujsongea point yoyote.

sikia dembele anaweza akatumia kweny mifumo ming, msimu huu huu mwa huu hu kuna mech segio robeto aliumia alikua full bek kulia iyo mech, baada ya kumia dembele alishuka chini alicheza kama full bek muongo muongo na alifanya vzr. so unagundua kua dembele anaweza kukupa ofa nyingi kuliko naymar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mapenz binafsi yanakuathiri.

yan unangalia mech moja na psg and coment yako hujsongea point yoyote.

sikia dembele anaweza akatumia kweny mifumo ming, msimu huu huu mwa huu hu kuna mech segio robeto aliumia alikua full bek kulia iyo mech, baada ya kumia dembele alishuka chini alicheza kama full bek muongo muongo na alifanya vzr. so unagundua kua dembele anaweza kukupa ofa nyingi kuliko naymar

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, yaani sijui niongee kwa namna gani niweze kuongeleka.

Narudia kukwambia ya kuwa, kama tunazungumzia Left Wing ktk Ulimwengu wa sasa na kwa timu tuliyonayo, hakuna mtu anayetufaa kama Neymar, Neymar kacheza Barca na sote tumemuona kuanzia Game za kwanza mpaka anaondoka.

Neymar hakuwa kuwa na mashaka juu ya namba yake pale Barca, hili ulikumbuke, ila Dembele kuna muda anapokezana na Coutinho na hana namba ya kudumu, muda mwingine mara akae kushoto mara akae kulia ila Neymar alikuwa anakaa kushoto.

1. Kwa kutumia akili ya kawaida, ubongo wako uchakachue, Neymar aje Barca leo hii, Dembele atapata namba na Neymar atakaa benchi?

2. Man U, Real Madrid, Man City wapo tayari kuvunja rekodi kwa ajili ya kumsajili Neymar, why not dembele?
 
Most goals in Europe's top leagues

1

Lionel Messi: 26 in 25 matches

2

Kylian Mbappe: 24 in 21 matches

3

Fabio Quagliarella: 19 in 25 matches

4

Cristiano Ronaldo: 19 in 26 matches

5

Sergio Agüero: 18 in 26 matches

6

Luis Suarez: 17 in 26 matches

7

Robert Lewandowski: 17 in 24 matches

8

Harry Kane: 17 in 26 matches

9

Mohamed Salah: 17 in 29 matches



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Most assists in Europe's top leagues

1

Lionel Messi: 12 in 25 matches

2

Eden Hazard: 11 in 27 matches

3

Jadon Sancho: 10 in 25 matches

4

Joshua Kimmich: 10 in 25 matches

5

Ryan Fraser: 10 in 30 matches

6

Sebastien Haller: 9 in 24 matches

7

Leroy Sane: 9 in 25 matches

8

Pablo Sarabia: 9 in 25 matches



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, yaani sijui niongee kwa namna gani niweze kuongeleka.

Narudia kukwambia ya kuwa, kama tunazungumzia Left Wing ktk Ulimwengu wa sasa na kwa timu tuliyonayo, hakuna mtu anayetufaa kama Neymar, Neymar kacheza Barca na sote tumemuona kuanzia Game za kwanza mpaka anaondoka.

Neymar hakuwa kuwa na mashaka juu ya namba yake pale Barca, hili ulikumbuke, ila Dembele kuna muda anapokezana na Coutinho na hana namba ya kudumu, muda mwingine mara akae kushoto mara akae kulia ila Neymar alikuwa anakaa kushoto.

1. Kwa kutumia akili ya kawaida, ubongo wako uchakachue, Neymar aje Barca leo hii, Dembele atapata namba na Neymar atakaa benchi?

2. Man U, Real Madrid, Man City wapo tayari kuvunja rekodi kwa ajili ya kumsajili Neymar, why not dembele?
baba naymar qa dembele qa sasa ivi naymar anajina kubwa tu kuliko dembele na sio uwezo.

kabla ya kusema kua dembele hana namba ya kudumu ndani ya kikos cha qanza cha FCB qa sasa afu naymar alikua na namba ya kudumu, jiulize wakati naymar yupo pale alikua anashindana na kina nani kupata namba je naymar alikua anashindana na watu wenye uwezo kam cotinyo??? apo ndo utapata majib ni kwa nn dembele anakua hamaliz mech dk90.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu kwa sasa siifaamu Sana Barca ingawa Mimi ni fan wa Catalonia hivyo naomba unifahamishe vizuri squad inayotangaza vita kwenye kila gemu tunayocheza.

Ukiachana na King Messi, Suarez, Dembele, Rakitic, Arthur... kwenye first XI kuna nani wengine tena? Substitution ya Barça kuna nani na nani..

Mimi ni fan sugu wa Catalonia kitambo sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sio fan bana, ungekua fan sugu ungeelewa hata vitu vidogo.

Ngoja niangalie ni timu gani inayosuasua england utakua unatokea huko.

Sent using simu mbovu
 
Wewe sio fan bana, ungekua fan sugu ungeelewa hata vitu vidogo.

Ngoja niangalie ni timu gani inayosuasua england utakua unatokea huko.

Sent using simu mbovu
sasa uingereza timu nyingi zinasuasua uko.. Mf Manure, Spurs...

Apa chama ni The Blues King of London, maybe Barca King of Catalonia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Official picture for 2018/19

Proud of Barcelona
IMG_20190311_193921.jpeg


Sent using Unknown device
 
Match dhidi ya olimpique Lyon,Coutinho analazika kua key player


Ili tushinde kirahisi wachezaji wafuatao tukiachilia mbali juhudi binafsi za Messi wanatakiwa wewe instrumental na kuonyesha efforts zaidi ya wengine
1.Sergio Roberto -hapa nitaizungumzia character yake ya Lamasia ya kupita na mipira either right flank au katikati ya dimba kutokea kulia -nazungumzia he is a good passer na mshehereshaji
2.Coutinho- kama akishindwa kabisa kupiga mashuti upande wake atalazimika awe anatoa mipira ya kuingia katikati .
Kuna tendency siku hizi kama Jordi Alba hajapanda juu, mipira inaishia kwa Coutinho which is not good inavuruga mipango ya ku attack (mtakubaliana na mimi hadi Neymar anaondoka left flank ndio tunaanzisha mashambulizi Mara nyingi)
3.ikishindika Coutinho,o Rakitic atalazimika kuubeba mzigo
It is either awe anaenda kusaidia left flank au right flank kuleta balance wakati wa ku attack (so this is the most important player kwenye game ya kesho for me)
4.We need to exploit opportunities effectively and efficiently
Nature ya Lyon ni kukaba nimeiona hadi wakiwa kwao walikua wanafanya nini so defence compactness is expected ,tutahitaji watu wa hold mipira na muda mwingine kupenya ukuta wao kupitia katikati hizi ni kazi za Busquets na Arthur Mello
5.Arthur Mello na Busquets watalazimika wewe wanapiga sana advancing ,penetrating balls ,chance za back passing hatutazifagilia
6.Semedo na Umtiti watasaidia sana ku tackle na kupunguza mashambulizi ya haraka yanapokuja upande wetu so ni better wakianza

Ni hayo tu ,tutashinda tena kwa kishindo tukizingatia game Creativity
 
Match dhidi ya olimpique Lyon,Coutinho analazika kua key player


Ili tushinde kirahisi wachezaji wafuatao tukiachilia mbali juhudi binafsi za Messi wanatakiwa wewe instrumental na kuonyesha efforts zaidi ya wengine
1.Sergio Roberto -hapa nitaizungumzia character yake ya Lamasia ya kupita na mipira either right flank au katikati ya dimba kutokea kulia -nazungumzia he is a good passer na mshehereshaji
2.Coutinho- kama akishindwa kabisa kupiga mashuti upande wake atalazimika awe anatoa mipira ya kuingia katikati .
Kuna tendency siku hizi kama Jordi Alba hajapanda juu, mipira inaishia kwa Coutinho which is not good inavuruga mipango ya ku attack (mtakubaliana na mimi hadi Neymar anaondoka left flank ndio tunaanzisha mashambulizi Mara nyingi)
3.ikishindika Coutinho,o Rakitic atalazimika kuubeba mzigo
It is either awe anaenda kusaidia left flank au right flank kuleta balance wakati wa ku attack (so this is the most important player kwenye game ya kesho for me)
4.We need to exploit opportunities effectively and efficiently
Nature ya Lyon ni kukaba nimeiona hadi wakiwa kwao walikua wanafanya nini so defence compactness is expected ,tutahitaji watu wa hold mipira na muda mwingine kupenya ukuta wao kupitia katikati hizi ni kazi za Busquets na Arthur Mello
5.Arthur Mello na Busquets watalazimika wewe wanapiga sana advancing ,penetrating balls ,chance za back passing hatutazifagilia
6.Semedo na Umtiti watasaidia sana ku tackle na kupunguza mashambulizi ya haraka yanapokuja upande wetu so ni better wakianza

Ni hayo tu ,tutashinda tena kwa kishindo tukizingatia game Creativity
Kama kuna uwezekano wa Suarez kupewa nauli basi apewe akasalimie ndugu zake Uruguay, maana tunataka kufanya kazi kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya coutinho kustep up ndio hii..


AKIZINGUA.. mimi ningekua kocha mechi zote zilizobaki Malcom ningempa chansi
Match dhidi ya olimpique Lyon,Coutinho analazika kua key player


Ili tushinde kirahisi wachezaji wafuatao tukiachilia mbali juhudi binafsi za Messi wanatakiwa wewe instrumental na kuonyesha efforts zaidi ya wengine
1.Sergio Roberto -hapa nitaizungumzia character yake ya Lamasia ya kupita na mipira either right flank au katikati ya dimba kutokea kulia -nazungumzia he is a good passer na mshehereshaji
2.Coutinho- kama akishindwa kabisa kupiga mashuti upande wake atalazimika awe anatoa mipira ya kuingia katikati .
Kuna tendency siku hizi kama Jordi Alba hajapanda juu, mipira inaishia kwa Coutinho which is not good inavuruga mipango ya ku attack (mtakubaliana na mimi hadi Neymar anaondoka left flank ndio tunaanzisha mashambulizi Mara nyingi)
3.ikishindika Coutinho,o Rakitic atalazimika kuubeba mzigo
It is either awe anaenda kusaidia left flank au right flank kuleta balance wakati wa ku attack (so this is the most important player kwenye game ya kesho for me)
4.We need to exploit opportunities effectively and efficiently
Nature ya Lyon ni kukaba nimeiona hadi wakiwa kwao walikua wanafanya nini so defence compactness is expected ,tutahitaji watu wa hold mipira na muda mwingine kupenya ukuta wao kupitia katikati hizi ni kazi za Busquets na Arthur Mello
5.Arthur Mello na Busquets watalazimika wewe wanapiga sana advancing ,penetrating balls ,chance za back passing hatutazifagilia
6.Semedo na Umtiti watasaidia sana ku tackle na kupunguza mashambulizi ya haraka yanapokuja upande wetu so ni better wakianza

Ni hayo tu ,tutashinda tena kwa kishindo tukizingatia game Creativity

Sent using Unknown device
 
Gazette za Spain zinasema Lyons watajazana nyuma katikati- Barca lazima apanue uwanja kwa njia ya utilization ya flanks-the longer the game goes on bila Barca ku score,the riskier cause a counter attack can do us- All in all the GOAT after a low profile in previous games will deliver on his way to football immortality
 
Coutinho akishindwa kujipatia heshima hapo kesho basi he's going to live under Dembele's shadow for a very long time!

Madogo watapaki basi, tutahitaji ball dancers kuwaunlock.

Coutinho must put his shit together and do us the favor!

- KANA -
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom