Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Naona sevilla leo wanawafundisha mpira
injinia unasoma


Messi the 
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naona sevilla leo wanawafundisha mpira


Messi the 
Hii pic ingekua clear,, sema hata tuandishi hatusomeki
Nikiri tu Messi is a BEAST.... Barca ilikuwa vibaya sana jana ila jamaa kawaokoa kwa mikono miwili.injinia unasomaMessi the
Sent from my iPhone using JamiiForums
Na Messi ni barcaBarca ni messi
mkuu tafsir ya hii sentensi coz napata tabu kuilewa
Més que un clubmkuu tafsir ya hii sentensi coz napata tabu kuilewa
🙏🙏🙏 bro
Messi hajawaokoa katimiza wajibu, Messi ni sehemu ya team, Team ikifungwa Messi kafungwaNikiri tu Messi is a BEAST.... Barca ilikuwa vibaya sana jana ila jamaa kawaokoa kwa mikono miwili.
Barca was sh**t bila nguvu binafsi Barca ingekuwa imelala 2-0. Tukubali individual capacity ina nafasi yake kwenye timu ndio maana kuna wachezaji huwa ni super sub kama kina Vitolo,Cutrone,pulisic n.k maana timu zinahitaji nguvi binafsi za hao watu ili ipate ushindi.Messi hajawaokoa katimiza wajibu, Messi ni sehemu ya team, Team ikifungwa Messi kafungwa
Sent using Jamii Forums mobile app