BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Not sure ndio kwanza naiona but we need a striker for any cost next season
Najua tatizo lako unapenda Sana watu wenye miguu ya kushoto mkuu Dembele hafiki hata kwa Dickson ambundo wa alliance schoolAre you serious kamanda? Yani coutinho ni zaidi ya dembele? Hapo sikukubalii hata kidogo...Kinachonikera kwa dembele hatoi pasi kwa wenzie, hasa kwa Messi anapokuwa na nafasi ya kuscore...jamaa chenga nyingi mpaka anapoteza mpira.
Binafsi Dembele namkubali kuliko Coutinho....
Ni Bora kuliko dembeleHahahaha yule matheo ni takataka aiseee...ni sub ya ovyo sana pale yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua tatizo lako unapenda Sana watu wenye miguu ya kushoto mkuu Dembele hafiki hata kwa Dickson ambundo wa alliance school
Haya mkuu, endelea na mtazamo wako...
Najua tatizo lako unapenda Sana watu wenye miguu ya kushoto mkuu Dembele hafiki hata kwa Dickson ambundo wa alliance school
basi ni mtu wa ajabu sana
Huyu Kurlzawa hujamjua tu shehe, hampendi Messi, ingawa ni shabiki wa baselona. Hivyo mzoee tu.
sijawahi kuelewa kwanini Dembele anaanza mbele ya coutunho wakati kiwango chake ni kama Matteo athon wa YANGA
![]()
![]()
![]()
![]()
basi ni mtu wa ajabu sana
Naona umeamua tu kutafuta sababu ya kumnyima mwenzio utamu. Camp Nou ni sehemu ya kafara, hakuna kusalimika!Barcelona naombea second leg watoke 1-1 pale Camp Nou.
Nitafurahi sana. Siku hiyo baba Debo hata akitaka usiku kucha, nampatia!!
Oyooo am in
waiting for great lamasia cantera performance