Tangu kikongwe pele aseme Messi ana single technic ya kufunga kwa left foot peke yake mwezi uliopita,tayari Messi amefunga goli kama sita hizi kwa mguu wa kulia
Messi..goal .92'
Naona technical director wa Barça amechoka Kazi. Yaani wanataka kumtoa Malcom plus fedha kwa ajili ya William aliyechoka huko Chelsea. Juzi hapa wamemleta Beki naye haeleweki. Aina ya wachezaji Barça inawasajili kwa sasa viwango vyao Vipo chini Sana View attachment 992392
Huyu nadhani ana tatizo kubwa na bodi isipoingilia kati mapema timu ataingiza matatizoni, mbali na kumtaka willian kuna tetesi kua anamtaka Giroud(hiki nacho ni ktuko kingine cha usajili).
Huyu nadhani ana tatizo kubwa na bodi isipoingilia kati mapema timu ataingiza matatizoni, mbali na kumtaka willian kuna tetesi kua anamtaka Giroud(hiki nacho ni ktuko kingine cha usajili).