FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hatari
IMG_20190112_125714.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli timu yetu inakera sana katika swala la usajili sijaona mantiki ya kutoa paundi million 50 plus Malcolm kwa willin ambaye ana miaka 2 tu ya kucheza soka LA ushindani, yaan wilian ana thamani zaidi ya paund milioni 80 kweli doh inaskitisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani...vipi Alvaro Morata aje Barca?dogo Munir El Haadad transfer ya sevilla imeshafanyika ,we need immediate replacement
 
400 Laliga goals :Messi

Sio mchezo Messi katika historia ya Laliga anaandikwa kwa kalamu ya dhahabu ,historia hizi ya kufuta record alianza mwaka 2014 pale alipovunja record ya Telmo Zara ya magoli 255 ambaye alikua nominated kama father wa laliga.

Unajua historia hii ilidumu kwa muda wa miaka mingapi?Aya chukua calculator uanze ku calculate kuanzia mwaka 1956 (Tanzania kabla haijapata uhuru) hadi 2014 = unapata 58 years ,aliweza kuivunja kijana wa miaka 26 na slogan kipindi kile anaelekea kuivunja record watoto wa Barca tuli title kama "I WAS THERE ",siku hiyo mnamo mwezi November alipiga hatrick na ku surpass record kwa magoli mawili zaidi

Leo hii mfalme huyu mpya tangu 2014 anaendelea tu kuivunja record yake kwa kuongeza magoli 155 zaidi kutoka gap la Telmo Zara na kutengeneza mazingira magumu kwa mtu ambaye atathubutu kuvunja huu mwamba

Usishangae watu wengine wakiwa wamekimbilia league ya wazee Italy waliona mbele wanakabiriwa na mtihani gani
Today ...Messi anafunga goli na am here counting 400 goals

Tchaooo
 
400 Laliga goals :Messi

Sio mchezo Messi katika historia ya Laliga anaandikwa kwa kalamu ya dhahabu ,historia hizi ya kufuta record alianza mwaka 2014 pale alipovunja record ya Telmo Zara ya magoli 255 ambaye alikua nominated kama father wa laliga.

Unajua historia hii ilidumu kwa muda wa miaka mingapi?Aya chukua calculator uanze ku calculate kuanzia mwaka 1956 (Tanzania kabla haijapata uhuru) hadi 2014 = unapata 58 years ,aliweza kuivunja kijana wa miaka 26 na slogan kipindi kile anaelekea kuivunja record watoto wa Barca tuli title kama "I WAS THERE ",siku hiyo mnamo mwezi November alipiga hatrick na ku surpass record kwa magoli mawili zaidi

Leo hii mfalme huyu mpya tangu 2014 anaendelea tu kuivunja record yake kwa kuongeza magoli 155 zaidi kutoka gap la Telmo Zara na kutengeneza mazingira magumu kwa mtu ambaye atathubutu kuvunja huu mwamba

Usishangae watu wengine wakiwa wamekimbilia league ya wazee Italy waliona mbele wanakabiriwa na mtihani gani
Today ...Messi anafunga goli na am here counting 400 goals

Tchaooo
Lionel Messi in LaLiga:

435 Games
400 Goals
162 Assists

9 La Liga
9 La Liga Best Forward
8 La Liga Best Player
5 La Liga Top Goalscorer
4 La Liga Most Assists

La Liga All-Time Top Goalscorer

La Liga All-Time Most Assists



Sent from my SHV-E330K using Tapatalk
 
400 Laliga goals :Messi

Sio mchezo Messi katika historia ya Laliga anaandikwa kwa kalamu ya dhahabu ,historia hizi ya kufuta record alianza mwaka 2014 pale alipovunja record ya Telmo Zara ya magoli 255 ambaye alikua nominated kama father wa laliga.

Unajua historia hii ilidumu kwa muda wa miaka mingapi?Aya chukua calculator uanze ku calculate kuanzia mwaka 1956 (Tanzania kabla haijapata uhuru) hadi 2014 = unapata 58 years ,aliweza kuivunja kijana wa miaka 26 na slogan kipindi kile anaelekea kuivunja record watoto wa Barca tuli title kama "I WAS THERE ",siku hiyo mnamo mwezi November alipiga hatrick na ku surpass record kwa magoli mawili zaidi

Leo hii mfalme huyu mpya tangu 2014 anaendelea tu kuivunja record yake kwa kuongeza magoli 155 zaidi kutoka gap la Telmo Zara na kutengeneza mazingira magumu kwa mtu ambaye atathubutu kuvunja huu mwamba

Usishangae watu wengine wakiwa wamekimbilia league ya wazee Italy waliona mbele wanakabiriwa na mtihani gani
Today ...Messi anafunga goli na am here counting 400 goals

Tchaooo
King of football, Messi10.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Messi's 400 league goals by month:

52 ⚽️ January (47 games)
45 ⚽️ February (52)
59 ⚽️ March (48)
43 ⚽️ April (53)
35 ⚽️ May (37)
04 ⚽️ June (2)
18 ⚽️ August (18)
48 ⚽️ September (51)
32 ⚽️ October (43)
30 ⚽️ November (43)
34 ⚽️ December (41)
 
Isco is not on Solari's plan

Hapo dogo ndio atawajua Madrid ni mashetani gani ,aliombwa tangu mwaka juzi tena Iniesta alikua atampigia ngoma aje Barca ..akakubali kusaini mkataba ambao una "clause ya ant-barcelona sale "yaani hawezi kuuzwa Barca directly kwa sababu walimstukia Isco Alcaron kwa style yake ya mpira ana Barcelona DNA,na analipenda chama la wana

Hao ndio Madrid ,mabingwa wa kuharibu soccer la Spain,daah kipaji kinaharibika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom