Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Hahah! Bora tumeshinda japo nilitegemea tutapata magoli mengiTunacheza hovyohovyo tu. Dk ya58 0-0
Hahah! Bora tumeshinda japo nilitegemea tutapata magoli mengiTunacheza hovyohovyo tu. Dk ya58 0-0
Ulicheki lakini mpira mbovu waliocheza? kikosi kilikuwa na Dembele, Dennis suarez, Munir, Alena, Vidal, malcom, Semedo. Ni wachezaji watatu tu ndiyo wageni kabisa. Hatungetegemea wacheze kama kikosi A lakini siyo ndiyo wacheze ovyoovyo kama walivyofanya.kwa kikosi kile ulitegemea mpira mzuri hapa kocha aliweka tim b kupima uwezo wao kwa iyo kapata jawabu wakija camp nou watakula nyingi
Kikosi B lakini tulikuwa na wachezaji wazuri na wenye uzoefu ndani. Mpira ulikuwa mbovu sana hata kwa kiwango cha team B.Don't bother with B
Hawa wachezaji wa mbele hawana tabia ya kuvimba vichwa Kama bongo? Wasije wakampoteza kijana kwa kumvimbisha
Mimi niliona bora kupiga ngizi tu, ulikuwa wa kuboa sana...Lenglet katupia freekick ya Dembele. Tumepata kagoli ka ugenini ila mpira ulikuwa mbaya sana kuutazama.
Arthur ana talanta ya kucheza mpira safi na kwa ufundi. Hivyo sidhani kulinganishwa na Xavi kama kunaweza kumwathiri chochote.Hawa wachezaji wa mbele hawana tabia ya kuvimba vichwa Kama bongo? Wasije wakampoteza kijana kwa kumvimbisha
Maneno ya Xavi6 mwenyewe kuhusu Arthur...Arthur ana talanta ya kucheza mpira safi na kwa ufundi. Hivyo sidhani kulinganishwa na Xavi kama kunaweza kumwathiri chochote.
Jumapili ilkuwa tamu sana, na utamu huu ulizidi baada ya Luis Suarez kuondoka na mpira, maana Perez alishawahi sema asengemnunua Suarez coz alikuwa na uzito mkubwa kipindi anasajiliwa kuja Barcelona. Lakini toka afike pale Camp Nou amekuwa mwiba mkali kwa Madrid, amekuwa akiwapindua anavyotaka.