FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Anacheza winga yakulia ingawa anatumia mguu wakushoto,pia anafunga magoli mengi akiwa nje ya box,mashuti yake dizaini ya coutinho pia nifundi sana wakuchezea Mpira,pia anaweza kucheza kama kiungo mshambuliaji kwa ufanisi wa hali ya juu.Pia umri wake nimdogo ana miaka 21 tu.
Basi anatufaa sana huyu dogo...
Aje.,,,naisubiri official announcement kwa hamu sana Mkuu...
 
Wanasubiri sana
Screenshot_2018-07-24-19-33-27.jpg
 
Anacheza winga yakulia ingawa anatumia mguu wakushoto,pia anafunga magoli mengi akiwa nje ya box,mashuti yake dizaini ya coutinho pia nifundi sana wakuchezea Mpira,pia anaweza kucheza kama kiungo mshambuliaji kwa ufanisi wa hali ya juu.Pia umri wake nimdogo ana miaka 21 tu.
Deal Done, Eric Abidal hana rongo rongo. Yeye ni mwendo wa action tu.
 
Ok, namuombea awe na partnership nzuri na Coutinho upande wao wa kulia, huku nikimiombea dembele awashe moto na Messi upande wa kushoto.

Msimu huu tutawanyanyasa sana!
RM, RW, LW, CAM zote dogo anapiga
 
Sure, nimechanganya.

Probably inawezekana dembele akapelekwa left wing
Another blunder from Batromeu
Kuna rumours kuwa Dembele anataka kuondoka baada ya kusajiliwa kwa Malcom na pia haelewani na Velvede.Kama itatokea timu kumshawishi Dembele ataondoka msimu huu
 
Another blunder from Batromeu
Kuna rumours kuwa Dembele anataka kuondoka baada ya kusajiliwa kwa Malcom na pia haelewani na Velvede.Kama itatokea timu kumshawishi Dembele ataondoka msimu huu
Malcom kafika leo tu, tayari romours za Dembele kuondoka zimeanza?

Calm down mkuu, ni mpuuzi peke yake ndie anaeweza kumuachia dembele!
 
Malcom kafika leo tu, tayari romours za Dembele kuondoka zimeanza?

Calm down mkuu, ni mpuuzi peke yake ndie anaeweza kumuachia dembele!
Chamsingi wote wapewe muda wa kucheza wa kutosha, na kila 1 apambane kuhakikisha kwamba anazoea mfumo wa Barca haraka iwezekanavyo na kucheza vizuri. Vingenevyo "survival of the fittest" itahusika hapa...
 
Malcom kafika leo tu, tayari romours za Dembele kuondoka zimeanza?

Calm down mkuu, ni mpuuzi peke yake ndie anaeweza kumuachia dembele!
Hao wapuuzi ndio walimnunua Paulinho tukasema hafai kuchezea Barca now wamekubali walikosea wamemrudisha China

Dembele tangu amesajiliwa hajacheza hata mechi 10 mfululizo baada ya kupona anahitaji game time kurudisha confidence na ilitegemewa Deschamps angempa nafasi kwenye WC lakini hakumpa . Dembele ni 4th expensive players in the world so pressure ni kubwa sana kwake ili ku-justify pesa aliyonunuliwa
 
Barca wanafeli sana kwenye usajili uyu malcom sijui kaletwa wa nini barcelona....sasahivi barca imekuwa timu ya kukuza vipaji na sio kuimarisha timu kuchukua uefa...barca ina dembele inatosha pale kati tuwape muda kina denis suarez na sergi roberto ajaribu kuingia kwa bosquet ...wangekomaa hawa barca 2narudi kwenye form...usajili wa malcom umenipa hasira tu sizani kama tutakuwa na maelewano mazuri na roma tukitaka mchezaji wao uko mbeleni pia usajili wa uyu mtu ni wa kiboya nimemcheki uyo malcom wa kawaida sana anawezakucompete na dembele ka dembele akiwa kwenye low form ila kwenye top form hamgusi ata kidogo..barca ingetakiwa kusajili mchezaji kama hazard ule upande wa kulia au namba tisa nyngne changa yenye uwezo iwe mbadala ya suarez na sio ujinga huu wanaoufanya...barcelona inafeli sana kwenye usajili siku izi..tangu msimu wa 2014 baada ya kna suarez,rakitiki na neymar hamna usajili mwingine mzuri zaidi ya coutinho..labda dembele kwa kuwa akipata nafasi atakuwa mzuri
 
Kwa ninavoona ili dembele awe mzuri zaidi ni vizuri ajitahidi kucheza upande mwingine maana mashabiki wa barca lazma tukabali kuwa messi ni mchezaji ambayehachezi kinamba sikuizi na hii ndo inamfanya kwamba kule upande wake ashtaj mtu kabsa bali beki ya upande wake yenye kasi kama alivowezana na dani alves ninaona semedo akipewa nafasi ataweza...uyu malcom sioni akiwezakuimarika akipangwa upande huu labda acheze middle maana kama kashndwa mchezaji kama dybala kucheza na messi upande mmoja sioni hilli kwa malcom...labda kama kocha ana malengo ya kumweka messi false nine tena
 
Kwa ninavoona ili dembele awe mzuri zaidi ni vizuri ajitahidi kucheza upande mwingine maana mashabiki wa barca lazma tukabali kuwa messi ni mchezaji ambayehachezi kinamba sikuizi na hii ndo inamfanya kwamba kule upande wake ashtaj mtu kabsa bali beki ya upande wake yenye kasi kama alivowezana na dani alves ninaona semedo akipewa nafasi ataweza...uyu malcom sioni akiwezakuimarika akipangwa upande huu labda acheze middle maana kama kashndwa mchezaji kama dybala kucheza na messi upande mmoja sioni hilli kwa malcom...labda kama kocha ana malengo ya kumweka messi false nine tena
Kwa bahati mbaya sio Dembele anaeamua kucheza upande wa kulia, ni maamuzi ya kocha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom