Valverd pia kauliza swali kama lako!!!
Kasema shida ipo kwenye mid hasa baada ya Fundi Iniesta kuondoka. Kwa hiyo anafikiri wangeanza kufanyia kazi eno hilo.
Huenda hata ujio wa Arthur Melo kutoka Gremio msimu huu badala ya January, 2019 nikutokana na ushauri wake ktk Bodi ya usajili.