Mpira wetu barca una focus kwa Messi zaidi. Everything goes through him. Kiasi wachezaji wengine lazima wautumikie mfumo huo. Namuona dembele kama hana uhuru fulani hivi akiwepo na Messi. Na jinsi Messi alivyo free ku rotate, kuna nyakati anakuja right flank na Dembele unamuona kama anakuwa out of position au anashindwa kuendana na Namna Messi anavyoenda. Naamini muda zaidi akipewa ata improve na kufanya vyema zaidi. Tusisahau katika mechi ya juzi, goli la kwanza assist ni ya Dembele na goli la pili ni Dembele ndie alie break down akiwa faced with three defenders, akapick a right pass right to Suarez, who also made a great pass to the King to strike home. Nimesahau statistics za Neymar msimu wake wa kwanza, lakini I believe si tofauti kubwa sana na Dembouz the Mosquito.