FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Basi nyie mtakuwa na "density" badala ya "pressure" kwa kumlinda fundi wa dunia (King Messi10) ili asiongeze magoli na kuchukua kiatu cha dhahabu kwa mara ya 5 dhidi ya mfiziaji wenu.Kuwapiga madrid kwenye mechi ya jumamosi ni ngumu sana mkuu.. Sababu yeye hatakuwa na pressure yoyote baada ya kuwa ameshamalizana na Bayern Munich. Ila nyie ndio mko kwenye pressure ya kulinda record yenu isichafuliwe tena na real Madrid.