FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Je rekodi ya kutokufungwa mechi mpk sasa kwa Barca itaendelea baada ya El Classico au vijana wa Real Sociedad ndio watakaotuumbua. In my humble opinion lets make an invincible season to give Dos Andres a great and memorable farewell.
 
Ushindi bila kufungwa match 40
Oyooooooo
Screenshot_2018-04-29-23-46-45.jpg
 
la liga 7 ndan ya miaka 10 si mchezo.....El classico coutinho na denis waanze aisee namuonea huruma dembele sioni future yake ndani ya barca unless abadilike kwa haraka mno ndani ya muda mfupi ujao lasivyo atolewe kwa mkopo kwa timu kama arsenal hivi akaimprove
 
Zidane kawakataza wachezaji wake anasema Barca ndo walianza kuharibu utaratibu huo baada ya kukataa kufanya guaard of honour walipochukua wao kombe
Madrid should give us a guard of honour when their waist bent down
 
Zidane kawakataza wachezaji wake anasema Barca ndo walianza kuharibu utaratibu huo baada ya kukataa kufanya guaard of honour walipochukua wao kombe

Hii kitu inatokea pindi mkiwa ktk the same league au fixture. Madrid walichukua kombe la dunia la vilabu ambalo barca hawakushiriki. So hii laliga madrid walikuwemo from day one, lazma guard of honor iwahusu.
 
la liga 7 ndan ya miaka 10 si mchezo.....El classico coutinho na denis waanze aisee namuonea huruma dembele sioni future yake ndani ya barca unless abadilike kwa haraka mno ndani ya muda mfupi ujao lasivyo atolewe kwa mkopo kwa timu kama arsenal hivi akaimprove

Aibu usajili wa 100+milion unatolewa kwa mkopo. Huyu dogo kila siku mi nasema barca walimnunua wakiwa frustrated after neymar depurture ila hana kiwango tofaut na Munir Elhadad ambaye alishasepa kitambo tu.
 
Hii kitu inatokea pindi mkiwa ktk the same league au fixture. Madrid walichukua kombe la dunia la vilabu ambalo barca hawakushiriki. So hii laliga madrid walikuwemo from day one, lazma guard of honor iwahusu.
Zidane alihojiwa akakaata hatofanya. Ok tutaona siku hiyo itakavyokuwa
 
Aibu usajili wa 100+milion unatolewa kwa mkopo. Huyu dogo kila siku mi nasema barca walimnunua wakiwa frustrated after neymar depurture ila hana kiwango tofaut na Munir Elhadad ambaye alishasepa kitambo tu.
yeah usajili wa dembele kwakweli barca walikuwa wapo kwe frustration af sielewi why munir hakuonekana ubora wake wakat dg alikuwa akiperform fresh kila anapopewa chance, alitakiwa awe back up ya l.suarez alcacer hakutakiwa kabisa kusajiliwa kpnd kile
 
Dembele leo mbona kacheza fresh 2 tena kapandsha timu muda mwingi hajapoteza mipira leo,katoa assist .....denis n m2 wa kucheza namba ya countinho ule upande wa dembele ,yuko peke yake 2 labda acompete na a.vidal mana ata countinho akchezaga kule juu anapwayaga cz ya overlap na messi...mwachen dgo aendelee kuimpruv cz kwa statistics ad saiv ana assists 9 na goli 2 ambapo coutinho ana goli ka 5 na assist (<9)...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom