Madogo hatari sana hawa... dahDembele katoka kaingia Vidal. Nu nzuri maana tupo nusu.
Kocha wako aliwaza nini leo kuanza na kikosi B wakati yupo ugenini tena kwa Celta?Tatizo gomes ni mwehu
Cr7 anacheza Leo anapiga brace yanabaki magoli 4Ashkuru cr7 anapumzishwa kwa ajili ya uefa
Angepita nae ka mshale
Kanishangaza sana... wakati CL kashapotea njiaKocha wako aliwaza nini leo kuanza na kikosi B wakati yupo ugenini tena kwa Celta?
Ndio hapo sasa mkuu yani jana kanikera sana yule mzee, kwanza siku hizi ata ile record yake ya nyavu kutokutikiswa haipo tena, sasa hv watu wanauokota nyavuni tu kila sikuKanishangaza sana... wakati CL kashapotea njia
Usikariri, hili siyo jukwaa la madridiots....Ashkuru cr7 anapumzishwa kwa ajili ya uefa
Angepita nae ka mshale
Tatizo umekariri!!!!Andunje katoka kapa tena leo
Fainal ya Kopa dilei ni Jmos hii. Ndo maana alibadili karibu kikosi kizima...Kanishangaza sana... wakati CL kashapotea njia