FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Kama kalambwanda Mkuu. Haina wasi wasi tena hiyo.Athletico kalala 3-0, game ijayo ya la liga tunatangaza La liga
Kama kalambwanda Mkuu. Haina wasi wasi tena hiyo.Athletico kalala 3-0, game ijayo ya la liga tunatangaza La liga
itakuwa kisheria bado. tukishinda tutakuwa a point 86 na atletico wakishinda watakuwa na 74 huku wote tukibakiza mechi nne . Itakuwa inasubiriwa tupoteze zote na wao washinde zote.Athletico kalala 3-0, game ijayo ya la liga tunatangaza La liga
Kifupi full shangwe yaani!Daaaaaaah nimefurahi sana ATM kufungwa. Naomba mechi ijayo tushinde ili tutangaze ubingwa. Pia hata kama Zidane kakataa kutufanyi Guard oh honour tutajifanyia kimoyo moyo![]()
![]()
Si kweli Fanya mahesabu yako vizuri Mkuuitakuwa kisheria bado. tukishinda tutakuwa a point 86 na atletico wakishinda watakuwa na 74 huku wote tukibakiza mechi nne . Itakuwa inasubiriwa tupoteze zote na wao washinde zote.
"Their 'closest' rivals Atletico Madrid suddenly lost to Real Sociedad 3-0."itakuwa kisheria bado. tukishinda tutakuwa a point 86 na atletico wakishinda watakuwa na 74 huku wote tukibakiza mechi nne . Itakuwa inasubiriwa tupoteze zote na wao washinde zote.
Sisi tukishinda mechi moja tunakua na point 86 ambazo yeye kufikisha lazima ashinde mechi zote zilizobaki.itakuwa kisheria bado. tukishinda tutakuwa a point 86 na atletico wakishinda watakuwa na 74 huku wote tukibakiza mechi nne . Itakuwa inasubiriwa tupoteze zote na wao washinde zote.
hapa nimekupata mkuu.Sisi tukishinda mechi moja tunakua na point 86 ambazo yeye kufikisha lazima ashinde mechi zote zilizobaki.
Hicho bado hakitamsaidia sababu sisi tuna advantage ya kutoa sare kwake na kumfunga kwetu ko automatic Barca will be a Champion



Kwa huyu kocha mtaishia Spain tu lakini ulaya mtamwachia zidaneMwisho wa MSIMU huyo kocha wetu Atapokea Pongezi Nyingi sana
Watu wanalalamika for nothing
Huyu kocha kafanya makubwa mnoooooo
Licha ya kikosi kuchoka due to fatigue
Kwa kauli yako hii maana ya tuta dominate ball la Spain-Laliga. Swali, je? Unaweza kuwa bora Spain alafu ukafeli kuwika Ulaya muda wote?....Kwa huyu kocha mtaishia Spain tu lakini ulaya mtamwachia zidane
Kwa formation ipi kaka ya 442 auOyoooo finally am back demage controlled
Tunachukua Copa de ley leo na next week Madrid tunawakalisha Camp Nou goli tatu bila
Ni kweli hakuna replacement lkn nauhakika Roberto ataweza kucheza vzr. Dogo ni mpambanaji vilivyoSad news kuna kila ishara Iniesta anaondoka Barcelona kuelekea china
Other side ya kuondoka kwake:kutampa nafasi kubwa ya kucheza midfielder Sergio Roberto na Dennis Suarez
I always dreamed siku hiyo itakuaje Iniesta akituacha ni very sad nothing we can do imebidi i think ni busara zake pia kuwapa nafasi hawa madogo wacheze ila daah no replacement aisee team morale inapungua
4-3-3Kwa formation ipi kaka ya 442 au
Asije cheza mchezo kama wa roma4-3-3