Kaka zidane ndio alikuwa anawanyanyasa Brazil katikati ya uwanja na kuwafanya akina kaka,juninho,ze Roberto,ronaldinho na Gilberto Silva kuonekana wa kawaida.
Hivyo casemiro,Toni,modric na isco kuwashika kiukweli inabidi uwe na kiungo mwenye kipaji haswa
Huyo countinho ni wa kawaida sana