FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kitu ambacho Messi hajafanya ni kuisaidia team yake ya taifa kuchukua copper America na World Cup bahati mbaya kwake anajificha kwenye uzuri wa Club yake.
Pia Ronaldo hajaisaidia Portugal kombe la dunia japokuwa yeye kavuka hatua moja ya kuvaa Euro medal .
Ukweli huu mchungu Kwa Messi funs ukizingatia Messi na Ronaldo ndio kombe lao la dunia la mwisho na team ya America inayoweza kuchukua kombe hili ni Brazil 10% team yenu Barcelona funs (Argentina) mnajua Hakuna team pale ni genge la superstars
90%kombe la dunia linaenda ulaya ,msichukie jamani kila mtu anayo haki ya kikatiba kutoa maoni bila kuvunja sheria
 
Nani kakwambia washabiki wote wa Barcelona tupo Argentina. Ukiwa mgeni wa mambo uliza. Messi anaisaidia sana Argentina, Tena sana. hivi juI ilikuwa kidogo isiiende Russia lakini jamaa singlehandedly kaivusha. Kaifikisha timu yake fainali. Amechukua uchezaji bora wa world Cup, asingechukua kama angekuwa haisaidii timu yake. yaani wewe mtu kuisaidia timu mpaka achukue kombe la dunia au la bara?
 
Mchawi wa mpira toka sayari ingine, 28 leo bado 1 nifurahi zaidi.

Utakuwa umelala usingizi mnono sana mkuu baada ya kusubiri akamilishe hattrick, na imekuwa hivyo😀😀😀 Kama kawaida yake ndani ya msimu mmoja kishapiga 6 hattricks...hiki kiumbe hakuna mfano wake katika soka...salute kwake!
 

Hahaa yani umelenga penyewe kabisa. Tatizo wanajisahau
 

Fact mkuu. Na hatatokea kamwe.
 
Ameifunga chelsea ambayo hata Burnley wali ifunga

Amemfunga Biffoni katika mwaka wake wa mwisho kabsa wa kuondoka.

Ni kweli kawafunga lakini kawakuta wakiwa wadhaifu
 
Achana na huyo, shabiki wa feki ronado.
 
Ameifunga chelsea ambayo hata Burnley wali ifunga

Amemfunga Biffoni katika mwaka wake wa mwisho kabsa wa kuondoka.

Ni kweli kawafunga lakini kawakuta wakiwa wadhaifu

Nyie hamkosagi visababu, mara oh hajawahi kuwafunga chelsea mara oh chelsea ambayo hata Burnley wali ifunga..mara oh hajawahi kumfunga Buffon haya amemtoboa 2 sasa tena dobo, halafu unakuja kusema mara oh amemfunga Buffon katika mwaka wake wa mwisho mara wadhaifu. Duh haters mnakazi kweli kweli.
 
Ameifunga chelsea ambayo hata Burnley wali ifunga

Amemfunga Biffoni katika mwaka wake wa mwisho kabsa wa kuondoka.

Ni kweli kawafunga lakini kawakuta wakiwa wadhaifu
Ni wale wale tu, timu feki feki ....
 
Sijakataa nimekubali kawafungwa Chelsea, ila hebu linganisha kiwango cha Chelsea ya sasa na Chelsea zote alizo kutana nazo Messi, hii ni dhaifu kuliko hizo zotee.
Buffon wa mwaka huu amabaye hata mechi za ndani hadaki zote naye kaisha, Messi hajamfunga Buffon on his prime.

Kwa hiyo its nothing special kaotea mida mibovu tu
 
Kwanza aende kwenye Uzi wao, huku anafanya nini. Hatuhitaji vijisababu visivyokuwa na nguvu.
 
Kifupi hakuna kitu ambacho bado hajafanya ndani ya uwanja. Unaweza kumkataa Messi10 kwa mdomo na kulopoka tu lakini Moyo na roho yako inakusuta kwamba Messi10 ndiyo mchezaji bora kuwahi tokea ktk sayari hii.
Messi ni mmoja ya wachezaji bora wa muda huu ila si mchezaji bora kuwahi kutokea duniani.
 
Ana magoli zaidi ya 500, kwa hiyo hayo magoli yote kawafunga magolikipa waliochoka?? Kweli wewe huna hoja za msingi.
 
Ana magoli zaidi ya 500, kwa hiyo hayo magoli yote kawafunga magolikipa waliochoka?? Kweli wewe huna hoja za msingi.
Unatoka nje mada hapo, nimeongelea ishu ya Chelsea na Buffon. Ambayo nimekubali kuwa finally kawafunga lakini wakiwa weak.
Unaongelea magoli jero
Mbona Cr 7 ana magoli 600 na ziad, Pele ana magoli 1000 whats so special about Messi mwenye jero?
 
Unamaanisha nini unaposema funs?

Hebu tumia kiswahili, usilazimishe lugha usiyoimudu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…