FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Alafu anakaba kwa akili kinoma
Anapiga interception nyingi kinoma km unakumbuka wakati ana be introduced sifa kuu ni speed ile kufika 33km/hr ni kawaida tu kwake sasa subiria azoee uone jinsi atakavyokua mtamu pia kwenye ku attack na crosses za right flank (aki-improve hapa tushaua ndege wa 5 kwa jiwe moja)
 
Anapiga interception nyingi kinoma km unakumbuka wakati ana be introduced sifa kuu ni speed ile kufika 33km/hr ni kawaida tu kwake sasa subiria azoee uone jinsi atakavyokua mtamu pia kwenye ku attack na crosses za right flank (aki-improve hapa tushaua ndege wa 5 kwa jiwe moja)
Ndege watano???????
 
Natumaini tutafika fainali japo nusu inaonekana kuja kuwa ngumu kuliko fainali.

Nusu itakuwa ngumu sana, na ndio maana naona Mwalimu analinda (conserve) energy na wachezaji muhimu wasipate majeraha, hatujacheza mpira wa kuvutia sana, maybe ktk fikra yake anawaza Semi Vs (Bayern, Madrid, Liverpool) na Kuhakikisha La Liga being won in next 5 matches. Jana mchezaji wetu muhimu kama mwanzo wa msimu ulivyokuwa amekuwa Mr own goal. Lady lucky is still with Barca this season.
 
By The Way, naona hakuna atakaeweza kumuondoa Madrid au kumzuia asichukue hili Kombe zaidi ya Barcelona na Liverpool ya Klopp, Bayern ni wepesi sana kwa RM. We have to end their dominance this year Around. Na The Lion King Messi ashereheke maradufu msimu huu.

14930356428277.jpg



DRvF1JEX4AA4xzs.jpg
 
according to Don Balon, Neymar is willing to rejoin his former side on two conditions.
Firstly the forward is demanding to be paid as much as Messi.
The Argentine is the talisman at Barca and Neymar’s position as understudy contributed to his decision to leave.
Don Balon also claim that the former Santos star wants Messi to publicly request the Catalan club re-sign him.
Neymar wants to feel wanted by his former colleague and he has pointed out that a public announcement is something he has done in the past for players such as Chelsea star Cesc Fabregas.
 
View attachment 734455
Hii game imeshaisha
Defence kali halafu S.Roberto no 7 atakua free sana kukunja ma crosses na kucheza wide kule mbele huku mipira akiingiza katikati ambako Messi atakua anaua tu
Thanks coacher tuna wingers kali magoli mengi leo
kilicho baki in kumsubiri bibi harusi wetu Wa saintago bernabeu tukasherehekee saba za mwanzo.
 
Huyu ndugu yetu Shaffi dauda alikuwa serious jamani?, eti Mechi ya juzi Cr7 alitoka na kijiji!!! 😀😀😀😀 au hakuangalia?

20180405_135226.png
 
Tushukuru Barca wako out of form(by our standards) na bado wanashinda-soon watakuwa back to their best-yaani wata peak at the right moment-I fear for the other pretenders to the throne
Huwezi kuwa na form msimu mzima,na ndio maana ,na hapa real Madrid wanaposhindaga UCL.
Hata ukimchunguza Pep gurdiola timu zake zinatumia nguvu kubwa sana kuanzia mwanzo wa msimu matokeo yake April huwa zinachoka lakini kwa sababu ligi inaangalia point ndio maana anachukua lakini UCL itamsumbua sana .
 
Tushukuru Barca wako out of form(by our standards) na bado wanashinda-soon watakuwa back to their best-yaani wata peak at the right moment-I fear for the other pretenders to the throne
Jana kwa kweli Barca walicheza chini ya kiwango sana, sema tu As Roma nao walikuwa wanawaogopa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom