Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Mi sja tema shit nyie ndio mna shangilia droo mpaka mna mdrag down
5 times world player of the yr cr 7. Nikawa natoa masahihisho
Walitaka kuniharibia pasaka yangu... shwaini kabisa.Hahahaha madogo walikomaa utafikiri ndo fainal.!!
Dogo bado hajalink vizuri na Roberto huwa wanaoverlap vizuri sana na Semedo. Pia sikuhizi anasomana vizuri na Messi na leo hawajacheza wote. Siwezi kumlaumu kuwa leo hakuwa vizuri japo pale mwanzo alitoa pass nzuri kwa Alba ambayo kidogo Suarez atie kambani.Kiukweli dembele bado hajafiti kwenye mfumo wa Barcelona anapoteza sana mipira. Kosa lingne lilikua kwa Rakitiki alijisahau kua anatakiwa afanye kazi ya Busquat akaendelea kufanya kazi yake. Ikapelekea nafasi ya Busquat kua wazi.
Uyo ndo Messi la pulga tena leo kapunguza ndevu
Haha wewe huwa unafwatilia kimya kimya ee]Kule Mbeya tunasema imbombo ngafu naloli!!! Duhhh!! Pole kaka,tusubiri labda King M atafanya miracle.
Haha acha zakoUyo ndo Messi la pulga tena leo kapunguza ndevu
Waache tu, si wanaona nongwa tukibaki unbeaten ngoja wakatifuliwe na Bayernhawa jamaa hata wakishinda hawatapata chochote wala hawaendi popote. sijui nini kinawafanya wacheze kwa nguvu hivi na wana mechi za UEFA.
Huyo ndie la pulga uwepo wake tu me shaka naondoagaHaya la kufutia machozi.... go on kuna miujiza inaweza tokea hapa...!!!
Hivi ndio kesho ee,, Asanteee kwa kunishtuaWakuu tarehe 21 mwezi huu tunakutana na hawa Sevilla fainali ya CDR. Tusirudie huu ujinga. Pia nawatakia sikukuu ya wajinga njema, msherekee kwa akili🙂🙂
Aisee
Dennis Suarez ameingia dakika chache lakini kocha ameona potential zake am his big fan
The guy was playing so wide katikati ya uwanja kama Paulinho tu sema yeye ana advantage ya kua mwepesi sana na anapiga chop passes nyingi (Tailored lamasia style)
Wakuu tarehe 21 mwezi huu tunakutana na hawa Sevilla fainali ya CDR. Tusirudie huu ujinga. Pia nawatakia sikukuu ya wajinga njema, msherekee kwa akili🙂🙂
Ulijua tumeshalala tayar ili ushangilieDaaah! Sometimea kunyamaza kimya ni wisdom
Ehehehehehe!
3730 games unbeaten
Huwa simutofautishagi huyo dogo na Isco AlarconPure Talent From Dennis Suarez siku zote uwa nasema dogo hatari ana vitu vikubwa sana kwenye miguu yake
Bado game moja tu tuandike historia nyingine
Huwa simutofautishagi huyo dogo na Isco Alarcon