FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Stop Insulting Ronaldo
1522334243107.jpg
 
Barca wanafikiria kucheza Formation ya 4-3-1-2

Sergi Roberto, Pique, Umtiti na Alba

Rakitic, Sergio Busquet, Coutinho

Lionel Messi

Antonie Griezmann na Luis Suarez
 
Barca wanafikiria kucheza Formation ya 4-3-1-2

Sergi Roberto, Pique, Umtiti na Alba

Rakitic, Sergio Busquet, Coutinho

Lionel Messi

Antonie Griezmann na Luis Suarez
Wacheze sahz Dembele si yupo
 
Pale kuna fraud kubwa sana.. Viongoz hawana maono kabsa..iniesta anaondoka je ni nan kaandaliwa...? Pengo la xav mpaka Leo hii halijazibka ..upuuz Wa kumuachia alcantara wakat wanajua kabsa xavi umri umemtupa.. Uongoz unawaza kujaza forward line tu wakat tatzo kubwa zaid lipo kwenye mild field.., cjui wanafkriaje pale kat. Ractic,, busquet, paulhno, iniesta, umri sio Rafk tena kwao na bado walikomaa kumleta coutnho pekee bla kutafuta mbadala Wa mda mrefu pale katkat..sina iman kabsa na utawala Wa huyu rais..
Pale anatengenezwa kijana Alena ni kiungo mzr sana na kumchukua Authur ni future idea mana dg anajua kudrive team kwenda mbele anajua kufunga na ku assist,
Afu kiwango walichokuwepo akina xavi, Iniesta, Busquat, Mess kuwapata mbadala wao kazi kweli ni level nyingne wale. Ndo kinawapa wakt mgumu utawala. Afu kingne sio kila mchezaji anaweza kufiti Barcelona. Ila tumeanza kuvuka kwa jinsi usajili ulivyo nauhakika team msimu ujayo itakua na muunganiko mzr sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom