FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hata hamu imeniisha kiukweli kuangalia match
Sub wapo Coutinho, Dembele, Pique, alcacer nk. siyo mbaya maana jpili tuna mechi ngumu na hawawa palmas wako kwenye kushuka daraja. ni chance ya hawa watu nao kucheza mambo yakibana wanaingia kuokoa jahazi japo si rahisi watubane.
 
Sub wapo Coutinho, Dembele, Pique, alcacer nk. siyo mbaya maana jpili tuna mechi ngumu na hawawa palmas wako kwenye kushuka daraja. ni chance ya hawa watu nao kucheza mambo yakibana wanaingia kuokoa jahazi japo si rahisi watubane.
Point ni 3 kila match, tunaweza kutoa draw leo halafu tukashindwa kuwafunga atletico
 
kwenye winger nafikiri vidal yuko poa kuliko Roberto maana ana spidi sana sema creativity ndiyo tena. Roberto avumilie kidogo atachukua nafasi ya rakitic RCM
 
palmas msimu wa juzi walikuwa wanaupiga mwingi sana. kocha kaondoka nafikiri na vyuma vimewakazia wamerudi kuwa vibonde. nilikuwa nawapenda sana. leo tutapiga pasi nyingi sana.
 
jamaa wameanza kuchezea msosi. ila vermanator ni mzuri kwenye mipira ya kona.
 
kwenye winger nafikiri vidal yuko poa kuliko Roberto maana ana spidi sana sema creativity ndiyo tena. Roberto avumilie kidogo atachukua nafasi ya rakitic RCM
Mkuu unasema Vidal ana speed kuliko Sergi Roberto?
 
Arsenal naona wameoza kabisa dakk ya 43 washapigwa 3
 
Nawapenda las palmas hawakabi sana


Do not interrupt your enemy when is making a mistake -If you know what i mean
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…