Sub wapo Coutinho, Dembele, Pique, alcacer nk. siyo mbaya maana jpili tuna mechi ngumu na hawawa palmas wako kwenye kushuka daraja. ni chance ya hawa watu nao kucheza mambo yakibana wanaingia kuokoa jahazi japo si rahisi watubane.
Sub wapo Coutinho, Dembele, Pique, alcacer nk. siyo mbaya maana jpili tuna mechi ngumu na hawawa palmas wako kwenye kushuka daraja. ni chance ya hawa watu nao kucheza mambo yakibana wanaingia kuokoa jahazi japo si rahisi watubane.
Huyu Vidal mi naonaga heri acheze beki mbili alafu Sergi Roberto acheze juu yake. Sijajua maana ya kocha ila mda mwingine mi naona tunamshusha kiwango Sergi Roberto kuchezeshwa number 2 kila siku akati match kama hii ad Vidal anaanza lakini still anacheza beki mbili uku uyu kichaa anapewa no.7
kwenye winger nafikiri vidal yuko poa kuliko Roberto maana ana spidi sana sema creativity ndiyo tena. Roberto avumilie kidogo atachukua nafasi ya rakitic RCM
palmas msimu wa juzi walikuwa wanaupiga mwingi sana. kocha kaondoka nafikiri na vyuma vimewakazia wamerudi kuwa vibonde. nilikuwa nawapenda sana. leo tutapiga pasi nyingi sana.
kwenye winger nafikiri vidal yuko poa kuliko Roberto maana ana spidi sana sema creativity ndiyo tena. Roberto avumilie kidogo atachukua nafasi ya rakitic RCM