Rakitic na Paulinho waanziage benchi. napenda MF ya Iniesta/Cotinho, Busi na Roberto ndiyo iwe inaanza.Sure!
Roberto ana impact kubwa sana kwenye attacking wakati huu akitokea right back. Sasa nawaza tukimsogeza kati kati akapunguziwa defensive roles itakuaje!
Tena nyuma yake akiwepo Semedo itakua balaa zaidi. Kati ya paulinho na rakitic anatakiwa kuanza mmoja wao.
Sergi Roberto bado hatumtumii ipasavyo.
Oooh. Pole sana,waliachanaYaani ndio leo unaniambia rafiki
Habari mbaya hii ila kwaupande mwingine naona imemsaidia rais kuwa na kiwango bora kabisaOooh. Pole sana,waliachana
"shosti" mbona mitandaoni hizi habari zinaonekana zilikuwa ni uzushi. bado wako pamoja.Oooh. Pole sana,waliachana
Pique na shakira hawajaachana mkuuToka wameachana anaupiga mwingi mno
MmmmmmhhhhhWameachana sasa hivi
Mkuu unazid kutupoteza unajuaBabu toka mwaka Jana walivyotoka tu kwenye harusi ya king leo wakaachana
Hebu tuchungulie kdg z hvyo vichwa vya habarSijajua tatzo mkuu ila ndyo hivyo mkuu
Ooog. Sawa shosti. Asante kwa hilo"shosti" mbona mitandaoni hizi habari zinaonekana zilikuwa ni uzushi. bado wako pamoja.
Habari mbaya hii ila kwaupande mwingine naona imemsaidia rais kuwa na kiwango bora kabisa
Nasikia ilikuwa hoax"shosti" mbona mitandaoni hizi habari zinaonekana zilikuwa ni uzushi. bado wako pamoja.
View attachment 699518
Haters be like but but has never scored against Watford,Leceister citu ,Wigan ,Newcastle etc
Tusiharibiane moodMmmmmmhhhhh
Fake news in jf mkuu
Winger tunayo na ndio Dembele subiri awe fitiNaomba niseme yafuatayo kutokana na Game ya jana
1. Sijawahi kushuhudia Chelsea wakicheza ktk attention kubwa kama mechi ya jana dhidi ya Barcelona.
Chelsea walijua kuwa uzembe wowote ule ungewagharimu, na ni kweli, uzembe wa beki ulipelekea Messi akafunga, Chelsea waliamini heri matokeo ya kufungwa 2-0 pasipo kufungwa na Messi kuliko matokeo ya 1-1 na 1 lenyewe kufungwa na Messi.
2. Barca tunapaswa kusajili winga ya kushoto, tunapaswa kushoto kuwa na mtu makini wa kazi kama Hazard na sio wauza sura kama Neymar. Hazard jana kacheza mpira mmoja mzuri sana, alitulia na kupiga chenga na kutumia nafasi vizuri.
3. Goal la Chelsea kila mmoja wetu alivyoona Willian kapokea mpira alijua tu kuwa lile ni goli, Willians alionekana mara mbili akiachwa huru anapiga mipira kuelekea golini na zote kagongesha mwamba, mara anapokea mpira tena bila kukabwa anaachwa apige mpka anafunga, huu ulikuwa ni uzembe wa hali ya juu.
Solution Wakuu tupate Winga ya kushoto na kiungo mchezashi mmoja wa timu wa kueleweka, hawa akina Paulinho bado sana, walau Rakitic anajitahidi sana.
Uko sahihi mkuu, ila leo tunacheza na Girona. Mie kwa leo napenda pale mbele waanze Dembele, Suarez na Coutinho af viungo wawe Busquets, Sergi Roberto na Iniesta alafu mabeki wawe Semedo, Alba, Yerry Mina na Umtiti na kipa awe Cillesen nione tutavokiwasha na naamini kwa kikosi icho leo tutampiga Girona sio chini ya goal 5.Kama mm ningekuwa kocha wa barca kwa sasa ningejaribu pale mbele kuwaweka Suarez kulia, messi ktk na demebele kushoto hasa match ndogo kama ya leo pia malaga
Safi sana, Dembele naona mfumo wa sasa wa Baraca haumpi favorUko sahihi mkuu, ila leo tunacheza na Girona. Mie kwa leo napenda pale mbele waanze Dembele, Suarez na Coutinho af viungo wawe Busquets, Sergi Roberto na Iniesta alafu mabeki wawe Semedo, Alba, Yerry Mina na Umtiti na kipa awe Cillesen nione tutavokiwasha na naamini kwa kikosi icho leo tutampiga Girona sio chini ya goal 5.
Dembele mkuu mi namuaminia sana na atafanya mengi mazuri tu ila navoona mfumo wa Barca kumweka Coutinho nafasi ya Iniesta ndo naona haumpi favour kwa maana Iniesta anavocheza anampa nafasi sana Jordi Alba apande uku yeye anarudi chini kukaba kuziba shimo aliloliacha Alba sasa akicheza Coutinho huaga sio mkabaji ivo Alba akipanda kunakua na shimo na pia mara nyingi naonaga Alba akipata mpira Coutinho mara nyingi anakimbia mbele atanguliziwe pasi akafunge tofauti na Iniesta ambae anaweza akamfata akachukua mpira wakapiga one two. Mie kwa maoni yangu Coutinho akianza basi ata Iniesta nae aanza kwa ajili ya kumkabia kama alivokua anacheza na Neymar na itamfanya Alba apunguze movement nyingi za kushambulia mana tayari tunae watu sahihi wa kushambulia upande wa kushoto.Safi sana, Dembele naona mfumo wa sasa wa Baraca haumpi favor
Ni kweli kabisa lkn mda unavyo enda ata ujua mfumo piaDembele mkuu mi namuaminia sana na atafanya mengi mazuri tu ila navoona mfumo wa Barca kumweka Coutinho nafasi ya Iniesta ndo naona haumpi favour kwa maana Iniesta anavocheza anampa nafasi sana Jordi Alba apande uku yeye anarudi chini kukaba kuziba shimo aliloliacha Alba sasa akicheza Coutinho huaga sio mkabaji ivo Alba akipanda kunakua na shimo na pia mara nyingi naonaga Alba akipata mpira Coutinho mara nyingi anakimbia mbele atanguliziwe pasi akafunge tofauti na Iniesta ambae anaweza akamfata akachukua mpira wakapiga one two. Mie kwa maoni yangu Coutinho akianza basi ata Iniesta nae aanza kwa ajili ya kumkabia kama alivokua anacheza na Neymar na itamfanya Alba apunguze movement nyingi za kushambulia mana tayari tunae watu sahihi wa kushambulia upande wa kushoto.