siku za karibuni naona kadennis huwa kanapoteana sana. sijui kutokujiamini sababu ya kusugulishwa benchi?Katika vitu vinavyoumiza ni hili la denis sijui alimkosea nini kocha. Hajawai kupangwa akaonyesha kiwango duni lakini kocha hataki kabisa kumpanga na wakat mwingne najiuliza inakuaje denis hata bench haonekani lkn gomes yuko uwanjan.
Hapo ndipo simuelewi kabisa valverdeKatika vitu vinavyoumiza ni hili la denis sijui alimkosea nini kocha. Hajawai kupangwa akaonyesha kiwango duni lakini kocha hataki kabisa kumpanga na wakat mwingne najiuliza inakuaje denis hata bench haonekani lkn gomes yuko uwanjan.
Yupo Kelvin Debrune KDB na Leroy saneMessi kazua mjadala ktk redio za Barcelona baada ya kusema PSG na Man City ni team nzuri-wapenzi wa soccer wanadai Man city bado -wanauliza ni player gani wa man city anaweza pata number ktk current Barca eleven??? mnaotazama match za city hivi ni kweli huko kuna mchezaji wa kuwa first 11 ya Barca ????
KDB na Sane wapo vizuri sana wanaweza kuanza kabisa ata David silva akiwa katika ubora wake ni aina ya wachezaji wa kichezea BarcaMessi kazua mjadala ktk redio za Barcelona baada ya kusema PSG na Man City ni team nzuri-wapenzi wa soccer wanadai Man city bado -wanauliza ni player gani wa man city anaweza pata number ktk current Barca eleven??? mnaotazama match za city hivi ni kweli huko kuna mchezaji wa kuwa first 11 ya Barca ????
Kama ni wawili tu basi City bado sana,PSG naadhani wanaweza toka hata wanne kuchezea barcaYupo Kelvin Debrune KDB na Leroy sane
Neymar,Verrati, Mbappe, na MarqunihosKama ni wawili tu basi City bado sana,PSG naadhani wanaweza toka hata wanne kuchezea barca
Kama ni wawili tu basi City bado sana,PSG naadhani wanaweza toka hata wanne kuchezea barca
De bryune Mkuu yuko level zingineMessi kazua mjadala ktk redio za Barcelona baada ya kusema PSG na Man City ni team nzuri-wapenzi wa soccer wanadai Man city bado -wanauliza ni player gani wa man city anaweza pata number ktk current Barca eleven??? mnaotazama match za city hivi ni kweli huko kuna mchezaji wa kuwa first 11 ya Barca ????
Kun agueroKama ni wawili tu basi City bado sana,PSG naadhani wanaweza toka hata wanne kuchezea barca
Hiyo ndio yenyewe mkuuJmn ii beki ya leo mbona siielew kbs
Pique yupo bench anasikilizia tu. Hali ikibana ata timba ndani...Hiyo ndio yenyewe mkuu
Umtiti ana njano tano, Pique majeruh
Una uhakika au unahisi mkuu?Busquets Leo anacheza kama CB
Hajazoea sio kuivaYerry mina bado hajaiva
Man U wamekalishwa auJameni mkumbuke kuwapa pole Fans wa Man Utd
Ndio. Wamekula 1Man U wamekalishwa au
Game limeishaNdio. Wamekula 1