FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Unajitia mjuzi kumbe pimbi tuu
62205a91e9dfb120d43cfe8cd499ecf9.jpg
 
shida kichaa fulani anakuja nakusema gaucho hajui mpira hana mafanikio yeyote zaidi ya kuweka mpira shingoni
Watu wengi wanavyoandika kuhusu Gaucho utafikiri kuwa hakuna wachezaji wengi watakuja kuwa kama yeye.Zile nyakati zao ziliruhusu mpira kuwa jivyo.Kipindi hiki tuna modern era za mafunzo na jinsi ya kutawala mpira,kwa hiyo mambo yale sijui umefanya hiki ni mara chache sana.
Binafsi sipingi kabisa kama Gaucho alikuwa Bora hata kidogo kilichomfanya azidi kuwa bora kile kipindi ni kikosi chake pia.Assist nyingi zilikuwa zinakwenda kwa ndugu yetu Samuel Etoo(Huya jamaa hazungumziwi kabisa,ila kwa wanaojua mpira hii ilikuwa habari tofauti pale Barca).
Messi pia kikosi na aina ya watu anaokutana nao kwa sasa,Barca imejengwa katika mazingira flani hivi wachezaji kuwa pamoja kwa lengo kuwa Team iwe Bora Daima.
Tutabishana hapa kila siku mara Gaucho mara Cr7 mara nani,kila mtu ana mtazamo wake kwa kila mchezaji.Kwa ujumla tu ni kuwa wote ni bora kwa namna zao na Talents zao kubwa zaidi.Enzi za kina Pelle walisema hakuna kama yeye lakini nao wanasema Kuna Messi,Gaucho,Zidane,Neymar na wengi tu.Tofauti na sisi huku mtu akimpenda Sijui Ajibu baaasi wooote tumpende Ajibu.Hawa jamaa wote wanajituma na wanajua,watazame timu zao zilipokuwa zikishindwa they feel...ona Cr7 wakifungwa huonesha kabisa kuchukia kwa maana anajua wajibu wake ulivyo mzigo.Tutumie Busara kubishana.
 
Wakati Gaucho anatoka ile 2008..miliona huzuni sana.Ila taratibu nikaanza kuelewa kuwa si yeye tu ndio bora zaidi
article-0-051CDBFB000005DC-286_634x350.jpg

Vitu kama hivi nilizidi kuona kuwa wapo vijana Bora mbele yake.
images

2162782.jpg

Mnaokumbuka hii ilikuwa 2007.Gaucho alikuwa na kijana huyo,hili tukio lilinifanya nizidi kusema kuna vijana watakuja kufanya kazi kubwa ya kuziba pengo la Bwana Gaucho pale Barca na kweli kabisa
c25df94499475859603cf0ad999d701d--lionel-messi-goal.jpg

Kijana huyo amecheza na wanyama wangapi??Tuache tu unafiki,wanyama wengi wanatambua kuwa Gaucho kaacha mzimu ambao utasumbua sana.Tuwe tunaangalia mpira kwa kjuifunza na kuelewa shughuli za watu wazito.
 
Javie Mascherano, anaondoka clubuni Barcelona baada ya kuitumikia kwa miaka 7na nusu. Mascherano aliyejiunga na Barca akitokea Liverpool mwaka 2010 anakwenda kujiunga na moja ya vilabu vinavyocheza ligi kuu nchini china.

Kuna taarifa kuwa amesign mkataba wa miaka mi2 utakao mwingizia $19m kwa miaka miwili.

Javie ameichezea barca jumla ya game 334 na kufunga goal 1.
1516796090345.jpg


Game 334
Trophies 19
Goal 1
Own goals 7
Mascherano atabaki miyoyoni mwa wana barcelona. We will miss him
 
Javie Mascherano, anaondoka clubuni Barcelona baada ya kuitumikia kwa miaka 7na nusu. Mascherano aliyejiunga na Barca akitokea Liverpool mwaka 2010 anakwenda kujiunga na moja ya vilabu vinavyocheza ligi kuu nchini china.

Kuna taarifa kuwa amesign mkataba wa miaka mi2 utakao mwingizia $19m kwa miaka miwili.

Javie ameichezea barca jumla ya game 332 na kufunga goal 1.View attachment 683573




amefanya kazi yake ipasavyo barcelona hakika atabakia kama legend wa club
 
Such was his succes, Ronaldinho managed to achieve a particularly impressiva and unique sextet. The Brazilian is the only player ever to have won a World Cup, a Copa América, a Confederations Cup, a Champions League, a Copa Libertadores and a Balon d'Or. The six biggest trophies that a Brazilian can dream of winning.

BeSoccer
 
Kuna mtu anaweza kuongea kitu ukabaki unashangaa, huyu mtu anatoa wapi mawazo ya ajabu namna hii?

Yani leo kuna mtu anasema Gaucho is overrated?

Come on man, stick to fashion magazines, football is not for you!

Eti mtu anasema Ronaldinho overrated kisa hana statistics Kali za magoli mengi?

Hivi unajua kwamba john Terry ana mabao mengi ya EPL kuliko mabao ya Iniesta LALIGA?

Je, Iniesta ni overrated?

Ronaldinho won two balon d'ors cause he deserved them, not by luck!

Hivi unafikiri mashabiki wa real Madrid ni wajinga kusimama na kumpigia makofi Gaucho pale Santiago Bernabeu?

Unamfananisha Gaucho na Coutinho, unaangaliaga mpira kweli au hua unasikiliza kwenye redio?

Dinho was a play maker, so you won't judge him by his goals statistics.

Speed, stamina, control, dribbles, nutmegs, free kicks, wonderful goals, inahitaji kujitoa ufahamu kusema huyu jamaa ni overrated!

Kwangu Mimi Gaucho is the second best player after Messi in the current generation (there is a room for argument here).

Otherwise, unaweza kubishana na mtu ukidhani anajua mpira kumbe unabishana na nabii Tito!

No hard feelings.

Adiós amigos
 
Kuna mtu anaweza kuongea kitu ukabaki unashangaa, huyu mtu anatoa wapi mawazo ya ajabu namna hii?

Yani leo kuna mtu anasema Gaucho is overrated?

Come on man, stick to fashion magazines, football is not for you!

Eti mtu anasema Ronaldinho overrated kisa hana statistics Kali za magoli mengi?

Hivi unajua kwamba john Terry ana mabao mengi ya EPL kuliko mabao ya Iniesta LALIGA?

Je, Iniesta ni overrated?

Ronaldinho won two balon d'ors cause he deserved them, not by luck!

Hivi unafikiri mashabiki wa real Madrid ni wajinga kusimama na kumpigia makofi Gaucho pale Santiago Bernabeu?

Unamfananisha Gaucho na Coutinho, unaangaliaga mpira kweli au hua unasikiliza kwenye redio?

Dinho was a play maker, so you won't judge him by his goals statistics.

Speed, stamina, control, dribbles, nutmegs, free kicks, wonderful goals, inahitaji kujitoa ufahamu kusema huyu jamaa ni overrated!

Kwangu Mimi Gaucho is the second best player after Messi in the current generation (there is a room for argument here).

Otherwise, unaweza kubishana na mtu ukidhani anajua mpira kumbe unabishana na nabii Tito!

No hard feelings.

Adiós amigos
Acha kuimba taarabu gaoucho was overrated
 
de1657c827ae83f536a0f909535f1a86.jpg
1.Ronaldinho

The recently retired Brazilian genius spent his best years at Barcelona, where he began to impress on his debut already with a storming shot against Sevilla, getting his first goal for Barcelona in the finest fashion. However, it is not goals or assists (which he had plenty of) why most of us love Ronaldinho. Ronnie is special for every Barca fan, because every time he received the ball, we knew that magic is about to happen. Juggle with the ball while a couple of opponents pressing on you? No problem whatsoever. That sort of childish joy of football is missed by some of the fans these days.

2.Neymar

The potential heir of Ronaldinho is quite a controversial person. Many Cules took it as treason when Neymar left Barcelona for PSG. And while fans have their reasons for such beliefs, it is impossible not to admit that Neymar has something special to him, that could turn any game into a show. Was it his elasticos, rabonas, nutmegs or simply the way he handles the ball? It is hard to pick one, but he was certainly the player who produced several ‘wow’ moments at the Camp Nou.

3.Xavi Hernandez

Xavi is much different from the two players, mentioned above. He was not the one to dribble past multiple defenders or to score overhead kicks. Xavi mastered another kind of sorcery – unbelievable passes. Subtle little flick to cut open the back line or a powerful 50 meter pass to switch the play – Xavi could find any player anytime, thanks to his brilliant understanding of the game and quickness of decision making. Today Lionel Messi has similar duties, but what’s better than one mastermind in the midfield? Right, two. Or even three if you remember the golden days of Xaviniesta.

4.Johan Cruyff

The player who combined dribbling, goals and assists is one of the greatest of all time, the man who became the father of Barca signature style – Johan Cruyff. The Dutch even has a feint that was named after him - the "Cruyff Turn". He was the one who made crowds come to Camp Nou to admire the unexpected turns and creative plays constructed by Cruyff. Despite media being much weaker in his time, Johan is known worldwide as a sophisticated fantasista who later became arguably the most influential coach.
 
Nimeweka facts zangu. Ziko wazi.

Sasa kama wewe unasema Gaucho ni overrated bila kua na facts, basi hauna tofauti na Nabii Tito!

Facts hupingwa kwa facts. Not empty words

Fact gani zaidi ume narrate story tu.

Kama mimi ni nabiitito basi wewe ni wale wanawake alikuwa anawafanya kitu mbaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom