kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Cha ajabu alichokifanya ni kipi zaidi ya kuweka mpira kichwani sijui matakoni?wewe hujui mpira unaonekana umeanza kujua mpira juzi
Cha ajabu alichokifanya ni kipi zaidi ya kuweka mpira kichwani sijui matakoni?wewe hujui mpira unaonekana umeanza kujua mpira juzi
Huwa nadhani Ronadinho alichukua demu wako, maana si kwa chuki hizi?Cha ajabu alichokifanya ni kipi zaidi ya kuweka mpira kichwani sijui matakoni?
Zaidi ya kuchea mpira hana jipyaHuwa nadhani Ronadinho alichukua demu wako, maana si kwa chuki hizi?
Anatuzo zote za dunia na amepata mafanikio kuanzia klabu mpaka timu ya taifaCha ajabu alichokifanya ni kipi zaidi ya kuweka mpira kichwani sijui matakoni?
Statistical hana tofauti na coutinhoAnatuzo zote za dunia na amepata mafanikio kuanzia klabu mpaka timu ya taifa
Wewe hujaona kuwa huo ndiyo uajabu wenyewe
Uajabu mwingine wa Gaucho ni kuaminiwa na scholari kocha wa timu ya taifa ya Brazil wakati huo na kumweka njee ya kikosi cha Brazil Romario mtu aliyeaminiwa na taifa la BrazilZaidi ya kuchea mpira hana jipya
Sasa hilo linatofautigani na kumtoa mgosi national team na kumuingiza AjibUajabu mwingine wa Gaucho ni kuaminiwa na scholari kocha wa timu ya taifa ya Brazil wakati huo na kumweka njee ya kikosi cha Brazil Romario mtu aliyeaminiwa na taifa la Brazil
Countinho ana tuzo ganiStatistical hana tofauti na coutinho
Samahani ndg inaonekana nabishana na mtu aliyefahamu mpira miaka ya 2010 na wewe itakuwa unaangaliaga clip za Gaucho hujabahatika kumwona enzi akiwa anachezaSasa hilo linatofautigani na kumtoa mgosi national team na kumuingiza Ajib
Mkuu hujui lugha nini nimeongea statistical hawaachani mbali sanaCountinho ana tuzo gani
Je amewahi chukua kombe la dunia hata ligi au uefa
Embu acha chuki za kijinga ndg
Samahani ndg inaonekana nabishana na mtu aliyefahamu mpira miaka ya 2010 na wewe itakuwa unaangaliaga clip za Gaucho hujabahatika kumwona enzi akiwa anacheza
Inawezekana sifahamu lughaMkuu hujui lugha nini nimeongea statistical hawaachani mbali sana
Pole kwa kukwepa umandeInawezekana sifahamu lugha
Mtu akikwambia unachokifanya ni exxagration of fact unaelewa nini?Mjinga yupi kati ya mimi na wewe
Dah ndg mimi nafahamu kichaga tuu hiyo lugha ilikuja na meli na huku kwetu hata bandari hatunaMtu akikwambia unachokifanya ni exxagration of fact unaelewa nini?
Cha ajabu alichokifanya ni kipi zaidi ya kuweka mpira kichwani sijui matakoni?
Barca siijuiwewe shabiki maandazi umeanza kutazama barca juzi amechukua ballon d'or na mchezaji bora wa dunia mara mbili mfululizo tena kipindi cha wachezaji bora duniani kama zidane,figo,rui manuel costa,nedved,kaka,de lima,pirlo,seedof tena wote wapo form hatari....kwanza wewe barca huijui mbwea unatazama barca kwenye you tube barca imepitia kipindi cha mpito barca bora ilipigwa na chelsea darajani ya kina zola bao nne moja uefa wanakuja nou camp wanachezea sita chelsea barca ikiwa na figo na rivaldo baada ya hapo barca inapotea mpaka 2003 mapinduzi ya gaucho,deco de souza,edmilson dimba la chini,etoo',ludovic guily,puyol,xavi,maquez kipindi hicho iniesta anatokea benchi mtoto mdogo wewe mbwea wakati barca imepotea wapenzi wa kweli tupo nayo sio nyinyi mna timu mbili mbili
Barca siijui ivi wewe una akili timamu?
Neymar kacheza PSG game 23 lakini kamzidi goals gaucho aliyecheza mechi 90+kajifunze mpira mbwea wewe sio unakuja kuchafua page ya barca kujitia na wewe shabiki wa barca......weka mpira shingoni basi na wewe wachezaji wakubwa wakupe heshima yako na uchukue tuzo zote za dunia