FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Neymar kacheza PSG game 23 lakini kamzidi goals gaucho aliyecheza mechi 90+

Leta statistics matusi hayana nafasi


wewe kweli mpira hujui, wewe shabiki wa neymoney shangilia basi psg sababu yupo huko.....hivi unajua ballon d'or na mchezaji bora wa dunia walikuwa wanatazama uwezo binafsi kubeba team inapokuwa ipo kwenye hali mbaya uwanjani sasa ndio mwanaume gaucho ndio alichokuwa anakifanya mpaka anachukua hizo tuzo na za mchezaji bora wa dunia...tazama zidane anachukua tuzo kwa uwezo binafsi uwanjani...nedved anapewa tuzo mchezaji bora ulaya juventus yote ilikuwa mapegani kwake....ndio maana nakwambia wewe mbwea kajifunze mpira nyinyi ndio mashabiki upepo mnajazana kwenye page yetu ya barca
 
wewe kweli mpira hujui mbwea wewe shabiki wa neymoney shangilia basi psg sababu yupo huko.....hivi unajua ballon d'or na mchezaji bora wa dunia walikuwa wanatazama uwezo binafsi kubeba team inapokuwa ipo kwenye hali mbaya uwanjani sasa ndio mwanaume gaucho ndio alichokuwa anakifanya mpaka anachukua hizo tuzo na za mchezaji bora wa dunia...tazama zidane anachukua tuzo kwa uwezo binafsi uwanjani...nedved anapewa tuzo mchezaji bora ulaya juventus yote ilikuwa mapegani kwake....ndio maana nakwambia wewe mbwea kajifunze mpira nyinyi ndio mashabiki upepo mnajazana kwenye page yetu ya barca
Leta statistics, hapa tunataka data
 
N
wewe kweli mpira hujui mbwea wewe shabiki wa neymoney shangilia basi psg sababu yupo huko.....hivi unajua ballon d'or na mchezaji bora wa dunia walikuwa wanatazama uwezo binafsi kubeba team inapokuwa ipo kwenye hali mbaya uwanjani sasa ndio mwanaume gaucho ndio alichokuwa anakifanya mpaka anachukua hizo tuzo na za mchezaji bora wa dunia...tazama zidane anachukua tuzo kwa uwezo binafsi uwanjani...nedved anapewa tuzo mchezaji bora ulaya juventus yote ilikuwa mapegani kwake....ndio maana nakwambia wewe mbwea kajifunze mpira nyinyi ndio mashabiki upepo mnajazana kwenye page yetu ya barca

Nyie mnaoitana mbweha sijui nani,kila mtu ana zama zake tuweele hilo kwanza.Na nakumbuka Gaucho kacheza na Messi na Baadhi ya hao ma Legendary dakika zao za mwisho.Wote wametoa mchango mkubwa sana kwa Barca kuanzia Gaucho na Bwana Messi.Gaucho alikuwa Bora katika ubora wake na lionel Ni bora kwa sasa katika ubora wake.
 
kumbe nabishana na kenge ambae hajui mpira...nenda kasukane nywele na dada yako maana hicho ndio unachojua
Mashabiki wa gaucho lazima mtukane maana mnamtetea, utamtetea kwa lipi kukata viuno uwanjani au kuweka mpira kichwani?

Ukija kwenye number ni zero nothing he done
 
N


Nyie mnaoitana mbweha sijui nani,kila mtu ana zama zake tuweele hilo kwanza.Na nakumbuka Gaucho kacheza na Messi na Baadhi ya hao ma Legendary dakika zao za mwisho.Wote wametoa mchango mkubwa sana kwa Barca kuanzia Gaucho na Bwana Messi.Gaucho alikuwa Bora katika ubora wake na lionel Ni bora kwa sasa katika ubora wake.

shida anakuja nakusema gaucho hajui mpira hana mafanikio yeyote zaidi ya kuweka mpira shingoni
 
Mashabiki wa gaucho lazima mtukane maana mnamtetea kilaza utamtetea kwa lipi kukata viuno uwanjani au kuweka mpira kichwani?

Ukija kwenye number ni zero nothing he done




kakate viuno basi na wewe upewe uchezaji bora wa dunia
 
Gaucho alicheza kama attacking midfielder au forward
Neymar anacheza kama left winger/ centre forward ama secondary striker
Nadhani hapo umepata tofauti ya kwanza kati ya watu hao
Forward na second striker au winger vina tofauti gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom