Fatma Karume nyani haoni kundule, kaa kimya

Fatma Karume nyani haoni kundule, kaa kimya

Unafiki ni Kitu kibaya sana.
Nyie ndio wanafiki wakubwa na mnauma na kupulizia kama panya ili mradi mpate kufanikisha mipango yenu,huyo binti hana shida yoyote na hajikombi kwa kiumbe yeyote
 
Siitajiki kujitokeza hadharani silence speak loud amejitokeza kujiaibisha angekuwa hajawahi nufaika na serikali anayo isuta ningemuheshim sana ila kwangu nmuona mnafiki
Kumbe issue ni kufaidika na CCM? Na wala siyo kwa faida ya NCHI? Ipo siku tutapata watu wenye uzalendo kama akina Fatma kuliko nyie wachumia tumbo.
 
Kwa hiyo hata wapemba mwaka 2001 aliwaua kihalali kule Pemba.?
Wewe nakuona wewe na wenzako mnapoteza haraka sana kumbukumbu,ni juzi juzi tu rais magufuli wakati anahutubia wazee wa dsm alisema kuwa yeye ndie amiri jeshi mkuu na ndiye anawajibika kuwalinda wazanzibar wote wakiwepo hao wapemba unao wasema,unasemaje kuwa karume aliwauwa wapemba?
 
Nibora ifike mahali Bi Fatma akae kimya maana upo msemo unasema nyani haoni kundule, ikiwa anasema Dk Shein sio rais wa znz basi ajiulize Aman Karume alikuwanani na kwa nini hakuwahi fanya haya anayafanya, nadhani anapaswa kuogopa Mungu maana familia yao ni moja ya familia inafaidi matunda ya ccm. nakuliko kuwa ndumila kuwili na watu kumshanga basi bora kuwa kimya.
Akuna mtu mwenye akili anamuelewa huyu bib labda awe muwazi anatumiwa na akina nani maana akumbuke hawezi kuwa double agent ndani ya taifa ambalo yeye anaishi bora angekuwa akina snowden akaenda uwamishoni nakuanza kuchonga ila kwa sasa anachokifanya kama kweli anajuwa sharia basi anafanya ujuma inayoweza kuzaa uhaini ambapo penalt yake ni mbaya sana.
Mimi nasema hana hata misuli yakimapinduzi bora akae kimya nakunywa urojo maana anayotafuta yatakuwa mabaya sana na wenye hekima watamkumbusha tulikwambia chunga domo hilo....... hili ni taifa na rais kasha apishwa. tulia
nlishasema tangia zaman uyu bibi ni mnafiki wa hali ya juu anatafuta kick za musimu km ni matatizo ya zanzibar mbn yalikuwepo tangia mapinduz km anajua historia aanze na babu yake afatie baba yake bila na yy kujiweka pemben sio kugangania hoja ya shein kutafuta kick za musimu uku akijua matatizo yote yalianzishwa na familia yake tangia enzi za mapinduz narudia tena bi fatma acha unafiki kutumika ni kubaya
 
nlishasema tangia zaman uyu bibi ni mnafiki wa hali ya juu anatafuta kick za musimu km ni matatizo ya zanzibar mbn yalikuwepo tangia mapinduz km anajua historia aanze na babu yake afatie baba yake bila na yy kujiweka pemben sio kugangania hoja ya shein kutafuta kick za musimu uku akijua matatizo yote yalianzishwa na familia yake tangia enzi za mapinduz narudia tena bi fatma acha unafiki kutumika ni kubaya
Unatumika wewe,huyo binti karume yupo huru na ni mtu anaye jitambua
 
Namuonea huruma maana angeweza kufanya internal consultation. Hii ya kufikiria anaweza kumuangusha tembo kwa mikono ni kucheza pata potea. I hope Aman Karume hakufanya faulo yoyote vinginevyo akae kweli kimya
 
Kipindi cha baba yake mpaka watu waliuliwa mbona hakufungua mdomo na kipindi kile kama uchaguzi ulikuwa wa haki kwanini watu walikufa
leo wanatubu kwa Mungu na wanayoyajutia kwa hiyo ni haki yao kuusema ukweli na hiyo ndio toba ya kweli
 
Unatumika wewe,huyo binti karume yupo huru na ni mtu anaye jitambua
anajua kabisa kuwa historia ya mapinduz ya znz ilipotoshwa na kundi la nyerere akiwemo babu yake na ndo zao la shein sasa km si mnafiki na mtafuta kick aje atupe historia halisi bila kumuogopa baba ake na uhain uliofanywa na babu yake sio kugangania hoja ya shein
 
anajua kabisa kuwa historia ya mapinduz ya znz ilipotoshwa na kundi la nyerere akiwemo babu yake na ndo zao la shein sasa km si mnafiki na mtafuta kick aje atupe historia halisi bila kumuogopa baba ake na uhain uliofanywa na babu yake sio kugangania hoja ya shein
Kwahiyo shein yupo sawa siyo?
 
Kuna point kubwa hapa. Babaake huyo dada naye alikuwa Rais katika mazingira yenye malalamiko mengi mpaka watu wakakimbilia Kenya. Hakuona?
 
Kwani siku zote si amekuwa akilindwa na hao unaosema wanafiki na alikuwa hakatai?

Lizaboni ulinzi ni kitu gani kama mengine unayostahili unanyimwa??!!. Binaadam sisi ni wakupita walilindwa kina Nyerere, Sadam,Gadafi, Mandela etc lakini muda ulipofika ulinzi ulikosa thamani

Maalimu anachohitaji Haki, Utu, Heshima na stahili zake
anajua kabisa kuwa historia ya mapinduz ya znz ilipotoshwa na kundi la nyerere akiwemo babu yake na ndo zao la shein sasa km si mnafiki na mtafuta kick aje atupe historia halisi bila kumuogopa baba ake na uhain uliofanywa na babu yake sio kugangania hoja ya shein
Sasa mnamhukumu nini na anaongea mapungufu ya serikali ya mapinduzi daima?! Wenye nia njema wsiotaka kujipendekeza kwa watawala wangeongezea kuijadili mstakbali wa nchi ili huko mbeleni tusiingie kwenye mgogoro mwingine wa UCHAGUZI
 
Ole wenu mnoujua ukweli kisha mkakaa kimya kwa hofu yenu ya kufikirika, maana ni heri kuwa mfu kuliko kuutambua ukweli kisha ukaukandamiza moyo wako, utumwa pekee uliobaki kwa mwafrika ni utumwa wa akili na kushangilia kila jambo lifanywalo na watawala hata kama linaumiza mioyo yenu kwa ndani,na kisha kuwatia hofu na wengine wanyamaze. Viacheni vinywa vyenu huru kunena kukosoa,kustahimili na kuheshimu maoni ya wengine kutafakari njia zetu kutambua makosa yetu na kutizama wapi tumejikwaa na si wapi tulipododokea ili kutupa lawa kwa wengine walioumbwa kukosea. Amebarikiwa ainenaye kweli mbele ya mfalme hata kama itamuumiza kwa manufaa ya Taifa na watu wake yeye ameiponya mioyo kutoka katika bahari ya fadhaa na hasira zilizokosa pa kutokea. Waacheni watu wanene maana wanaliponya taifa na hasira isiyokuwa na pa kutokea. Tafakari.
 
Nibora ifike mahali Bi Fatma akae kimya maana upo msemo unasema nyani haoni kundule, ikiwa anasema Dk Shein sio rais wa znz basi ajiulize Aman Karume alikuwanani na kwa nini hakuwahi fanya haya anayafanya, nadhani anapaswa kuogopa Mungu maana familia yao ni moja ya familia inafaidi matunda ya ccm. nakuliko kuwa ndumila kuwili na watu kumshanga basi bora kuwa kimya.

Akuna mtu mwenye akili anamuelewa huyu bib labda awe muwazi anatumiwa na akina nani maana akumbuke hawezi kuwa double agent ndani ya taifa ambalo yeye anaishi bora angekuwa akina snowden akaenda uwamishoni nakuanza kuchonga ila kwa sasa anachokifanya kama kweli anajuwa sharia basi anafanya ujuma inayoweza kuzaa uhaini ambapo penalt yake ni mbaya sana.

Mimi nasema hana hata misuli yakimapinduzi bora akae kimya nakunywa urojo maana anayotafuta yatakuwa mabaya sana na wenye hekima watamkumbusha tulikwambia chunga domo hilo....... hili ni taifa na rais kasha apishwa. tulia
Kumbe usharudi toka mombasa raha... Vipi shemeji mzima?
 
Back
Top Bottom