kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 7,762
- 14,480
ccm ni laana
Nibora ifike mahali Bi Fatma akae kimya maana upo msemo unasema nyani haoni kundule, ikiwa anasema Dk Shein sio rais wa znz basi ajiulize Aman Karume alikuwanani na kwa nini hakuwahi fanya haya anayafanya, nadhani anapaswa kuogopa Mungu maana familia yao ni moja ya familia inafaidi matunda ya ccm. nakuliko kuwa ndumila kuwili na watu kumshanga basi bora kuwa kimya.
Akuna mtu mwenye akili anamuelewa huyu bib labda awe muwazi anatumiwa na akina nani maana akumbuke hawezi kuwa double agent ndani ya taifa ambalo yeye anaishi bora angekuwa akina snowden akaenda uwamishoni nakuanza kuchonga ila kwa sasa anachokifanya kama kweli anajuwa sharia basi anafanya ujuma inayoweza kuzaa uhaini ambapo penalt yake ni mbaya sana.
Mimi nasema hana hata misuli yakimapinduzi bora akae kimya nakunywa urojo maana anayotafuta yatakuwa mabaya sana na wenye hekima watamkumbusha tulikwambia chunga domo hilo....... hili ni taifa na rais kasha apishwa. tulia
Wewe mwenye msuli wa kimapinduz ndo unaongelea jamii forums?what a shame dudeNibora ifike mahali Bi Fatma akae kimya maana upo msemo unasema nyani haoni kundule, ikiwa anasema Dk Shein sio rais wa znz basi ajiulize Aman Karume alikuwanani na kwa nini hakuwahi fanya haya anayafanya, nadhani anapaswa kuogopa Mungu maana familia yao ni moja ya familia inafaidi matunda ya ccm. nakuliko kuwa ndumila kuwili na watu kumshanga basi bora kuwa kimya.
Akuna mtu mwenye akili anamuelewa huyu bib labda awe muwazi anatumiwa na akina nani maana akumbuke hawezi kuwa double agent ndani ya taifa ambalo yeye anaishi bora angekuwa akina snowden akaenda uwamishoni nakuanza kuchonga ila kwa sasa anachokifanya kama kweli anajuwa sharia basi anafanya ujuma inayoweza kuzaa uhaini ambapo penalt yake ni mbaya sana.
Mimi nasema hana hata misuli yakimapinduzi bora akae kimya nakunywa urojo maana anayotafuta yatakuwa mabaya sana na wenye hekima watamkumbusha tulikwambia chunga domo hilo....... hili ni taifa na rais kasha apishwa. tulia
Hivi unakumbuka chanzo cha Mauaji ya January 26 na 27, 2001?Tumaini wewe ni kilaza wala hujui unacho ongea Amani karume alichaguliwa kwenye uchaguzi halali na wa kisheria kwa mujibu wa katiba ya znz Sheni amewekwa na jeshi kwa uchaguzi batili
Wanasema historia hujirudia , mtu wa kwanza kupoka Demokrasia ni babu yake , aliyepindua utawala ulioingia madarakani kwa kura . Mapinduzi daima hajui maana yake ?Wewe ni nani kumnyamazisha mtu asitoe maoni yake. Lakini pia alichosema ni sahihi Shein si Rais wa wananchi ni wa jeshi, ndilo limetumia maguvu kumweka, au unataka civil revolt ndio uamini. Watanzania wakiwa watulivu na kutafuta mwafaka kwa amani bila umwagaji damu mnatufanya majuha, sijui mnataka tu muone tunakuwa kama Burundi ndio muamini huwa tunachukia na hatuna tofauti nao tukiamua!
Hivi kwakua tu alinufaika ndo hoja hiyo ya kwamba akae kimya?.kwa umri wake kipindi cha babu yake angeweza kuongea nini?,Siitajiki kujitokeza hadharani silence speak loud amejitokeza kujiaibisha angekuwa hajawahi nufaika na serikali anayo isuta ningemuheshim sana ila kwangu nmuona mnafiki
basi kaa kimyaSiitajiki kujitokeza hadharani silence speak loud amejitokeza kujiaibisha angekuwa hajawahi nufaika na serikali anayo isuta ningemuheshim sana ila kwangu nmuona mnafiki
Hoja ni kua huo uchaguzi wa 2000 ulikua halali.huu wenu wa sasa ni haramuHivi unakumbuka chanzo cha Mauaji ya January 26 na 27, 2001?
Hivi kama ulikuwa halali wale watu wangeuawa kule Pemba?Hoja ni kua huo uchaguzi wa 2000 ulikua halali.huu wenu wa sasa ni haramu
Alikuwepo na alikuwa mtu mzima hivyo alishuhudia wale watu wakifa lakini hakusema chochote sasa hivi anachonga kama katiwa ndimu. Wakati mwingine tusishabikie vitu kwa kujifurahisha tuangalie dhamira ya dhati ya muhusika. Nikichunguza kauli zake napata shida sana kumuelewa kwa kuwa anaonekana kama ana matatizo ya kisaikolojia.Kipindi cha baba yake mpaka watu waliuliwa mbona hakufungua mdomo na kipindi kile kama uchaguzi ulikuwa wa haki kwanini watu walikufa
Hahaha huyu akili zake ni level za kina diamond, siasa hakuna kituMkuu vipi kuhusu ule uzi wako wa mtoto wa diamond nasikia sio wake
Kipindi cha baba yake mpaka watu waliuliwa mbona hakufungua mdomo na kipindi kile kama uchaguzi ulikuwa wa haki kwanini watu walikufa
Kipindi cha baba yake mpaka watu waliuliwa mbona hakufungua mdomo na kipindi kile kama uchaguzi ulikuwa wa haki kwanini watu walikufa
Amani Abeid Karume amekuwa Rais wa Zanzibar kutoka Novemba 3, 2000 hadi Novemba 8, 2010. Na mauaji ya Pemba yametokea Januari 26 na 27, 2001. Na ndicho kipindi ambacho babake Fatma alikuwa ni Rais wa Zanzibar.Kipind gan, mwaka gan ktk uongoz wa Baba yake watu wameuwawa...????, au huijui Zanzbar
AMUA TUONE NA UJUHA WAKO TULISHAWAAMBIA HAMADI HATAKUWA RAIS MPAKA ANAPUMZIKA KWA AMANI HATA KAMA ATATUMIA NGUVU HAUPATI NG'OOO KAMA MNABISHA LIANZISHENI NA HAMADI WENU MUONE MUZIKI WAKE.Wewe ni nani kumnyamazisha mtu asitoe maoni yake. Lakini pia alichosema ni sahihi Shein si Rais wa wananchi ni wa jeshi, ndilo limetumia maguvu kumweka, au unataka civil revolt ndio uamini. Watanzania wakiwa watulivu na kutafuta mwafaka kwa amani bila umwagaji damu mnatufanya majuha, sijui mnataka tu muone tunakuwa kama Burundi ndio muamini huwa tunachukia na hatuna tofauti nao tukiamua!
AMUA TUONE NA UJUHA WAKO TULISHAWAAMBIA HAMADI HATAKUWA RAIS MPAKA ANAPUMZIKA KWA AMANI HATA KAMA ATATUMIA NGUVU HAUPATI NG'OOO KAMA MNABISHA LIANZISHENI NA HAMADI WENU MUONE MUZIKI WAKE.