Unadhani bila watu kama hawa ambao wanakemea injustice openly, Afrika ingekuwa huru? Ubaguzi wa rangi ungetoweka? Sisi tunajificha kwenye fake id zetu. Mbona Magufuli anatumbua majipu na wengi tunajua ni kitu cha hatari lakini tunamwambia endelea?Nibora ifike mahali Bi Fatma akae kimya maana upo msemo unasema nyani haoni kundule, ikiwa anasema Dk Shein sio rais wa znz basi ajiulize Aman Karume alikuwanani na kwa nini hakuwahi fanya haya anayafanya, nadhani anapaswa kuogopa Mungu maana familia yao ni moja ya familia inafaidi matunda ya ccm. nakuliko kuwa ndumila kuwili na watu kumshanga basi bora kuwa kimya.
Akuna mtu mwenye akili anamuelewa huyu bib labda awe muwazi anatumiwa na akina nani maana akumbuke hawezi kuwa double agent ndani ya taifa ambalo yeye anaishi bora angekuwa akina snowden akaenda uwamishoni nakuanza kuchonga ila kwa sasa anachokifanya kama kweli anajuwa sharia basi anafanya ujuma inayoweza kuzaa uhaini ambapo penalt yake ni mbaya sana.
Mimi nasema hana hata misuli yakimapinduzi bora akae kimya nakunywa urojo maana anayotafuta yatakuwa mabaya sana na wenye hekima watamkumbusha tulikwambia chunga domo hilo....... hili ni taifa na rais kasha apishwa. tulia
Na ni kweli Rais aliye madarakani ni Rais halali hata bila kujalisha ameingiaje.
Haya mambo hata hivyo ni ya kwenu wazanzibari. Nyinyi ni waarabu wapemba.