antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 45,047
- 121,477
Hapo walijifurahisha tuu.. kama ambavyo wewe ukiamua leo kujiita mwewe hutakuwa mweweHizo kesi za kina Machano mara baada ya kesi kuamriwa kuwa Zanzibar sio nchi wazanzibar wakaona mahakama kama inawadharau wakaenda mbuo kubadilisha katiba iliyokuwepo ya Zanzibar isomeke wazi kabisa kuwa Zanzibar ni nchi
Ndio hadi leo inasomeka kuwa Zanzibar ni Nchi hiyo kesi ndio ililetelea hayo mabadiliko