Fatma Karume ajipanga kukazia hukumu dhidi ya Musiba

Hizo kesi za kina Machano mara baada ya kesi kuamriwa kuwa Zanzibar sio nchi wazanzibar wakaona mahakama kama inawadharau wakaenda mbuo kubadilisha katiba iliyokuwepo ya Zanzibar isomeke wazi kabisa kuwa Zanzibar ni nchi


Ndio hadi leo inasomeka kuwa Zanzibar ni Nchi hiyo kesi ndio ililetelea hayo mabadiliko
Hapo walijifurahisha tuu.. kama ambavyo wewe ukiamua leo kujiita mwewe hutakuwa mwewe
 
Hizo kesi za kina Machano mara baada ya kesi kuamriwa kuwa Zanzibar sio nchi wazanzibar wakaona mahakama kama inawadharau wakaenda mbuo kubadilisha katiba iliyokuwepo ya Zanzibar isomeke wazi kabisa kuwa Zanzibar ni nchi


Ndio hadi leo inasomeka kuwa Zanzibar ni Nchi hiyo kesi ndio ililetelea hayo mabadiliko
Subiri utekelezaji wa hukumu ndo utajua hujui
 
Iliyotoa hayo maamuzi sio mahakama kuu ya Tanzania ni ya nchi ya nje ya nchi iitwayo Zanzibar kusoma huoni au?
Tunachosubiria ni kuona nguvu ya hii post yako kuzuia utekelezaji wa hukumu ya Makama dhidi ya shost wako
 
Soma post ya kwanza ya mleta mada.... Mahakama kuu ya Tanzania....

Tufanye mleta mada kakosea.... unadhani mahakama ya Zanzibar haina akili hata ijishughulishe na kesi ya mtu asiye raia wake? Unajua mipaka/makubaliano ya hizi mahakama kuu mbili juu ya kesi za raia wake?
Hajui maana ya neno DIVISION

Muache ampambanie kijana wake
 
Raia wa Tanganyika lazima atetewe na watangabyika wenzake kama ambavyo raia wa Zanzibar huteteana kwenye mambo yao
Mbona walipeleka mashehe wa uamsho Bara?

Ili kuondoa sintofahamu, inafaa huyo mhalifu musiba akabidhiwe huko Znz ili haki itendeke
 
Nitengeneze defence team ya nini ? Niipeleke nchi za nje kwenye nchi huru ya nje ya nchi ya Zanzibar nchi ya watu wengine?
Mkuu huu utetezi wako una makengeza,
Ni butu pia unaugua degedege kimashiko.

Unasema Visiwani ni Nchi nyingine,
Swadakta, -na inao hao uliowataja wooote,
Waziri wa Sheria,ma-Jaji, Mahakam nk.

Pengine unayo hoja,
Lakini,U-mpofu kuona kuwa hilo shauri halikuwa Siri.
Liliendeshwa kama mashauri mengine ya kisheria.

Utaniambia vyombo vyote vya Kisheria vilikuwa likizo na kuwa isingewezekana kuiona ni dosari kuliendesha shauri hilo kule kwa mujibu wa Sheria?

Pili,
Iwapo hukumu hiyo isingekuwa halali,
Huyo mkosaji unadhani kitu gani kinamfanya awe mafichoni?

Je, matusi yake, majivuno na dhihaka zake unadhani pangekalika hapa?

Jamaa yako kaufyata anajua akileta za kuleta lupango itamhusu na hayupo anaepumua wa kulizuia hilo.

Anyway, yawezekana wengine hatuelewi kidogo ila, busara ya kawaida haingii kichwani na msimhadae ajitokeze mwenzenu kama kweli yuko mbali akae hukohuko huku akija watu wanae wanataka Fweza zao na kizuri zaidi anamjua vizuri 'Sister Doo wa Bumbwini'🤪

Nawasilisha.
 
Raia wa Tanganyika lazima atetewe na watangabyika wenzake kama ambavyo raia wa Zanzibar huteteana kwenye mambo yao
Kwa hiyo unataka mimi nijiunge na huo utetezi siyo?

Kila mtu ashinde mechi zake, labda Asprin atakuelewa siyo mimi
 
Mi mwenyewe nimeamua kuachana naye. Inaelekea ubongo wake unamhitaji daktari...
Babu
Si unajua wengi tuna Id fake humu JF. Utajuaje akawa ndo YEYE akidhani anabishana na Jaji aliyehukumu kesi yake?
 
Hapo walijifurahisha tuu.. kama ambavyo wewe ukiamua leo kujiita mwewe hutakuwa mwewe
Kwa hiyo katiba ya nchi ya Zanzibar ni null and void kwenye mahakama za Tanzania? .Katiba inayotamka wazi kuwa Zanzibar ni nchi na katiba ambayo ilipigiwa kura na RAIA wote wa nchi ya Zanzibar na kupitishwa na bunge LA nchi hiyo yaani baraza LA wawakikishi na kusainiwa na Raisi wa Zanzibar .Kwa hiyo hiyo katiba ni batili mbele ya mahakama za Tanzania?
 
Kwa hiyo katiba ya nchi ya Zanzibar ni null and void kwenye mahakama za Tanzania? .Katiba inayotamka wazi kuwa Zanzibar in nchi na katiba ambayo ilipigiwa kura na RAIA wote wa nchi ya Zanzibar na kupitishwa na bunge LA nchi hiyo yaani baraza LA wawakikishi na kusainiwa na Raisi wa Zanzibar .Kwa hiyo hiyo katiba ni batili mbele ya mahakama za Tanzania?
katiba ya Zanzibar imeruhusu Jeshi la Polisi Tanzania likalinde raia wake? Limeruhusu JWTZ likalinde mipaka ya nchi yake? Kwanini isiwe kwa Mahakama Kuu ya Tanzania ?
 
katiba ya Zanzibar imeruhusu Jeshi la Polisi Tanzania likalinde raia wake? Limeruhusu JWTZ likalinde mipaka ya nchi yake? Kwanini isiwe kwa Mahakama Kuu ya Tanzania ?
Kule wana jaji mkuu wao kabisa huteuliwa na huapishwa na raisi wa Nchi ya Zanzibar usichanganye mambo
 
Kwahiyo Zanzibar ni nchi isiyo na Jeshi la Polisi wala Jeshi la ulinzi
Ziko nch kibao ziko hivyo mfano Canada,Newzealand na Australia ni nchi kamili lakini majeshii ya ulinzi na usalama yako chini ya malikia wa Uingereza ni majeshi ya uingereza na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ya nchi hizo ni malkia wa uingereza lakini katiba zao zinatamka wazi kuwa zenyewe ni nchi kamili na ziko hadi umoja wa mataifa
 
Back
Top Bottom