FastJet: Mwanza - Kilimanjaro nauli tsh 32,000... (Bila VAT)

Hawa ni matapeli tu wa mjini wapendwa
kama amuamini pigen namba zao sasa watakwambia darjrodar 198,000 ukiuiliza za 32,000 wanakwambia zimeisha jana mpaka january....so ngoja nikuelekeze kwa nini naita wahuni

1....kwa wasiowajua hawa ni wale wazungu wanaochimba sijui wameshapata ama bado wanatafuta gesi kule mtwara na walipewa kibali so wizarani wanawajua kuliko unavymjua mkeo ...ndio maana kibali kwao aikuwa shida sana kupata kumbuka hao hao wameenda nairobi wamekaa miezi 5 wanaomba kibali cha kuingiza low cost airline waliishia vyumban..sikatai kuwe na ndege za bei rahisi lakini kwanini watangaze 32.000 mwananchi aende yaani siku moja tu akute 198,000 ati zilikuwa siti chache tu

2....kwa nini naita matapeli kila mtu anaesafiri na pw ama airtanzania anaja naulizake 280,000-300,000 na kg 30 za kucheck in na 10 za kubeba sasa hawa waheshimiwa wanakupa kg 10 tu na zinazozidi ni 5000kgs..so unakuta kama ukiwa na begi lina kg 20 unalipia laki moja yaani 100.000 ukijumlisha na ya tkt 198,000 utajua umelipia ngapi 298,000 so ukija mwishoni utakuta umelipa fare za pw na atc... Na pw na atc bado watakuwa nafuu maana wanakupa 30 kgs..na wao ukiwa na 30 kg unalipa 150,000 +198.000 unaapata 348,000 tzs ....so ukiangalia watanzania umizen kichwa tusikurupuke tu nasubiri mru wao aje kutuelewesha zaidi leo umati wa watu umejaa ofisini kwao ukaambiwa dar kilimanjaro dar 198,000 hi ndio bei rahisi ya 32,000 imeisha jana ..sasa ukiangalia vizuri wamefungua ofisi jana saa 9am leo asbh zimeisha mpaka january kwa nini mnatangaza watu uongo semeni ukweli kuna siti kadhaa za 32,000

nawatkien uhuni mwema
 
BASIASI Marketing strategy yao ni ya kihuni sana na kama ndivyo walivyofanya Maketer wao ni msanii, hajui athari za customers 'complication kwenye bizness kama hizo na kwenye tight market kama hii ya TZ.
 
Last edited by a moderator:
kg20 sio laki moja (5000*20kg) koz katika izo 20kg si kuna 10kg za free?? so it should be 50,000...au?
 
Nilikuwa nasikiliza afisa wao clouds fm asubuhi, anasema chakula ndani ya ndege ni cha kulipia ila unaruhusiwa kuingia na chakula chako ambacho hakitawaudhi abiria wenzanako. Mizigo nayo itakuwa inalipiwa; kilo ishirini za mwanzo ni shilingi elfu nane na kila kilo inayozidi ni shilingi elfu nane.

Maafa yaja...over daladala!!
 
wadau naomba kujulishwa office za fast jet zilipo i will apreciate maana nahitaji kusafiri kwa haka kanafasi ka punguzo la bei
 
Nikisafiri kwa basi luxury ni 30000 plus hela ya njiani 25000 happo bado hela ya teksi n.k ni kama 15000 =70000
kwakweli bora ndege hii kwa sisi mangi
 
hawa jamaa ni wahuni na wanahitaji kufutwa ktk business haraka sana. huwezi kufungua ofs ndani ya siku moja eti tiket zimejaa mpaka january hawa ni wahuni wa kupigwa viboko. wanakuwa waongo kama ccm wamenikera kweli
 
slider-panel-618-x-390-px-1b-27.jpg

Habari ndo hiyo wakuu. Ukipiga na VAT ni kama 43,040 TZS one way. Return inakua 86,080/= TZS. Begi lako la kilo 20 litalipiwa 8,000/- na kila kilo inayozidi inapigwa sh 8,000/- TZS.
What more do you want jamani? Kama vipi unapanda na ugali wako.
Hamna mbwembwe za misosi wala vinywaji ndani. Unanunua kwa hela yako binafsi.
Simple
 
jamani nipeni bei ya kutoka kia kwenda jomokenyatta. pia ofisi zao kwa hapa moshi ziko wapi??
 
We Americans...we should doubt everything (John Dewey,the Founder of American system of Education) How about Tanzanians?
 
slider-panel-618-x-390-px-1b-27.jpg

Habari ndo hiyo wakuu. Ukipiga na VAT ni kama 43,040 TZS one way. Return inakua 86,080/= TZS. Begi lako la kilo 20 litalipiwa 8,000/- na kila kilo inayozidi inapigwa sh 8,000/- TZS.
What more do you want jamani? Kama vipi unapanda na ugali wako.
Hamna mbwembwe za misosi wala vinywaji ndani. Unanunua kwa hela yako binafsi.
Simple
Kodi za ndege hazipigwi kwa style hii kaka.
Vat wakati but sio kwa style hii. Kuna additional Airport tax ya kama 10,000 na Bima nafikiri 2,000
 
Nilikuwa nasikiliza afisa wao clouds fm asubuhi, anasema chakula ndani ya ndege ni cha kulipia ila unaruhusiwa kuingia na chakula chako ambacho hakitawaudhi abiria wenzanako. Mizigo nayo itakuwa inalipiwa; kilo ishirini za mwanzo ni shilingi elfu nane na kila kilo inayozidi ni shilingi elfu nane.
Hahahha marehemu Ebbo aliimba 'Makande ndani ya ndege' yametimia!! Bongo raha sana..
 
Back
Top Bottom