Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,378
Hii ni kampuni mpya inayoanza safari za ndege, nauli ni bila VAT.
Kwa Dar office zipo mitaa ya Samora opp Wizara ya Nishati na madini karibu na Steers.
Kwa Dar office zipo mitaa ya Samora opp Wizara ya Nishati na madini karibu na Steers.
Nilikuwa nasikiliza afisa wao clouds fm asubuhi, anasema chakula ndani ya ndege ni cha kulipia ila unaruhusiwa kuingia na chakula chako ambacho hakitawaudhi abiria wenzanako. Mizigo nayo itakuwa inalipiwa; kilo ishirini za mwanzo ni shilingi elfu nane na kila kilo inayozidi ni shilingi elfu nane.