kwani kutoka mwanza had arusha inachukua dakika ngapi hadi ubebe mavyakula? chakula unakula mwanza maji unaenda kunywa arusha. mia
beba zako zinaruhusiwaila humo ndani tutapewa hata bublish kweli?
acheni ukauzu ,midomo si itanukakwa hesabu ya haraka haraka nauli + vat + 20kg ya mizigi itakuwa tshs 45,760. Msosi utajiju. Sa masaa mawili au moja nalo unakula nini kama sio uroho tu!
wabongo tumezoea kunyonywa kweliUongo tu huo ni usanii. Kwani wamekuja wangapi na mbwembwe hizo kumbe utapeli.hakuna biashara ya mama ntilia kwenye issue ya usafiri wa ndege. Duniani kote huwa ni ghali sasa huyu ati 32,000 Tsh ! hata ukaweka navat of 18% is unthinkable na uongo
Sa we naye kwenda KIA hapo saa moja si ununue pop corn za 100 au Big Gacheni ukauzu ,midomo si itanuka
VAT si 18%? 35,000(1+0.18)=41,000/=
Unamaakili wewe mpaka natamani nikutoa hapa ka jf nikuhug member wote wakishuhudia. na hivi nishamaliza mafunzo ya urubani kitu mtoto Smile pembeni ....eheheeee na rubani mwenyewe ni wewe dah watakomaje
Nilikuwa nasikiliza afisa wao clouds fm asubuhi, anasema chakula ndani ya ndege ni cha kulipia ila unaruhusiwa kuingia na chakula chako ambacho hakitawaudhi abiria wenzanako. Mizigo nayo itakuwa inalipiwa; kilo ishirini za mwanzo ni shilingi elfu nane na kila kilo inayozidi ni shilingi elfu nane.
ujue hiz hazian maliwato!!mmmh mi nitabeba mayai ya kuchemsha
hapo kwenye red,
Kwahiyo Noah Marufuku??
kwani kutoka mwanza had arusha inachukua dakika ngapi hadi ubebe mavyakula? chakula unakula mwanza maji unaenda kunywa arusha. mia
Hizo ndio ndege ambazo wanasema ni za bei rahisi
Sasa nnahisi kabisa kuwa humu ndani badala ya kupewa sandwich tutakuwa tunapewa UBUYU
Mmmm!! Inazidiwa nauli na Najimunisa na Zuberi.
vat si 18%? 35,000(1+0.18)=41,000/=
halafu Wi-Fi bei ya nauli ni 32,000Tshs sio 35,000Tshs kama ulivyobainisha kwenye heading....