Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Usafiri wa ndege unaweza kuwa rahisi hapa Tz kama kungekuwa na ndege nyingi kuleta ushindani. Lakini bei inakuwa kubwa kwa sababu ya kutokuwepo ushindani. Kumbukeni ile ndege ya akina Diallo ilikuwa 75000 MWZ - DAR lakini waliihujumu, sasa ni grounded!
Ile walijihujumu wenyewe baada ya sakata la Richmond kuibuka. Nakumbuka nilikuwa na ticket wiki hiyo ikabidi kusafiri na shirika lingine. Chezea Laigwanan wewe