DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 275
- 235
Je, wajua mnufaikwa wa Fao la Uzee (Old Age Pension) akishachukua kiinua mgongo na kuanza kulipwa monthly pension (Malipo ya kila mwezi) na baada ya miezi miwili/mitatu+ akafariki, Dependant wake wanakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye Mfuko?
Kwa PSSSF tegemezi watakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye mfuko (hawana kitu cha kulipwa)
Kwa NSSF watalipwa Death Benefits tu (Fao la Kifo)
Kwa PSSSF tegemezi watakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye mfuko (hawana kitu cha kulipwa)
Kwa NSSF watalipwa Death Benefits tu (Fao la Kifo)