fao la uzazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Makamura

    Kwanini NSSF hawatoi Fao la uzazi kwa Mwanaume ambaye anajukumu la Kulea Familia?

    Malalamiko ni mengi juu ya utoaji wa fao la uzazi, Hivyo tunataka kujua kwanini wanao nao wasipewe Fao hili Kwasababu ndio manajukumu kubwa la kulea Familia hivyo wanahitaji Fao hili ili kuwawezesha Nao kuweza Kukimu uzazi na baada ya Uzazi na maisha kipindi cha uzazi kiujumla
  2. DOMINGO THOMAS

    Fahamu hili kuhusu Fao la Urithi/Mirathi

    Je, wajua mnufaikwa wa Fao la Uzee (Old Age Pension) akishachukua kiinua mgongo na kuanza kulipwa monthly pension (Malipo ya kila mwezi) na baada ya miezi miwili/mitatu+ akafariki, Dependant wake wanakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye Mfuko? Kwa PSSSF tegemezi watakuwa hawana kitu cha...
  3. M

    NSSF kipi ni kipi sasa kuhusu hili Fao lenu la Uzazi?

    Niliona wanatangaza kuwa Mwanamke ukiwa umechangia miezi 36 na miezi 12 ya mwishoni ukiwa umechangia mfululizo unastahili hili fao la uzazi, na pia kuna sehemu nyingine nimeona wanasema hata baada ya kujifungua unaweza kuomba ndani ya siku 84 baada ya kujifungua. Cha kushangaza mimi natimiza...
Back
Top Bottom