DOMINGO THOMAS

JF-Expert Member
Feb 16, 2023
275
235
Je, wajua mnufaikwa wa Fao la Uzee (Old Age Pension) akishachukua kiinua mgongo na kuanza kulipwa monthly pension (Malipo ya kila mwezi) na baada ya miezi miwili/mitatu+ akafariki, Dependant wake wanakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye Mfuko?

Kwa PSSSF tegemezi watakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye mfuko (hawana kitu cha kulipwa)

Kwa NSSF watalipwa Death Benefits tu (Fao la Kifo)
 
Je, wajua mnufaikwa wa Fao la Uzee (Old Age Pension) akishachukua kiinua mgongo na kuanza kulipwa monthly pension (Malipo ya kila mwezi) na baada ya miezi miwili/mitatu+ akafariki, Dependant wake wanakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye Mfuko?

Kwa PSSSF tegemezi watakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye mfuko (hawana kitu cha kulipwa)

Kwa NSSF watalipwa Funeral Grant (Msaada wa mazishi pekee)
Sio wezi ni sheria zilizojadiliwa na bunge letu na kupitishwa kwa kura nyingi za ndiyooooooo!
 
Hii mifuko ina ujanja ujanja sana


Mtu kachangia mfuko kwa miaka 40.

Anastaafu akiwa na miaka 60. Ile anaanza kupokea pensheni tu anafariki baada ya mwezi mmoja

Mke na watoto wake hawaambulii chochote kutoka kwenye michango ya baba yao ya miaka 40
Yes, Ndivyo sheria ilivyo.
 
Hii mifuko ina ujanja ujanja sana


Mtu kachangia mfuko kwa miaka 40.

Anastaafu akiwa na miaka 60. Ile anaanza kupokea pensheni tu anafariki baada ya mwezi mmoja

Mke na watoto wake hawaambulii chochote kutoka kwenye michango ya baba yao ya miaka 40
Mbona hamsemi mme na watoto ??

Mmezidi uchuro
 
Back
Top Bottom