Fanyieni usafi nywele zenu za bandia

Fanyieni usafi nywele zenu za bandia

Leo nusura nitapike katika daladala..,

Kama unavyojua tarehe hizi za katikati ya mwezi ni uhaba...,

Imenibidi nitumie usafiri wa umma...,

Tulikuwa tumeshonana alafu bidada ndio yuko usoni kwangu, balaa ! Nusura nitapike jinsi nywele za huyu mwanadada zilivyokuwa zinatoa harufu mbaya..., kwanza nilifikri kuna mtu katoa hewa chafu..!

Loh! Safari nzima..., mpaka ninashuka!

Jamani jirekebisheni akina dada, hii siyo sawa!

The Jezebel spirit.
 
...wengine hawanyoi naniiiii hata garden zinakosa usafi kamili

...mkuu' sijakuelewa!
Naomba unyambulishe' kwenye red na blue...
au kuna nywele bandia zinazonyolewa?

...na hii bustani iko sehemu hipi?
 
Na kwanini urumie nywele bandia
Ridhika na ulichopewa na muumba wako

Utumwa wa kiaakili
 
Naunga mkono hoja. Kweli wanawake tunanuka nywele sijui wenye waume wanashare vipi kitanda! Nywele inabidi zioshwe walau mara moja kwa wiki jamani!

...King'asti ! Asante kwa kuunga mkono hoja!
Nakuomba utusaidie kuwambieni...

...unajua wanaume wengi wanashindwa kuwambia wapenzi wao kuwa "nywele" zinanuka...,
...mwanaumme inabidi avumilie hivyohivyo...
 
Wape wape eeeh vidonge vyao, wakimeza wakitema shauri lao.

Wengine natural babu wee, khaaa. Halafu uzuri wa mafundisho yetu (Waislaam) uki "do" tu lazima ujitoharishe kwa kuosha nywele, wengine sie ndio sharti kwa ma-oud ya mawardi na ma-haltiti vilua na ma-asmini, kunuka kutoke wapi?
 
I love my short hair,naamin naonekana mrembo zaid kuliko nikiweka hizo za bandia,japokua baadhi ya watu wanasema ni ushamba kuwa na nywele fup!!!
Ila bora ushamba wa kuepukana na harufu....gharama na muda wa kushinda saloon........!
 
ila ni kweli mkuu hata mimi huwa zinaniboa sana,wengi wa akinadada nywele zao za bandia hutoa harufu kali sana,mi mwenyewe karibia kila napokuwa karibu na wadada wenye minywele hiyo huwa naisikia harufu hiyo na huwa najitahidi sana kuwa mbali nao kwani huniletea kichefuchefu sana

...loh!
Inabidi tuwe tunawaeleza ukweli wao! Ingawaje hawapendi kuambiwa ukweli...!
 
...mkuu' tatizo awa dada zetu' hawajijui..! Pia kuna baadhi yao, hawapendi kuambiwa ukweli..., mara nyingi wanapenda kuambiwa maneno yakusifiwa! ...kuwa AMEPENZA (hata kama hajapendeza)

jitambueni... jamani dada zetu...,

tumekuelewa ingawa mie sio mtu wa maweaving sana....

hata hizi nywele zangu nilizotia dawa nikikaa nazo week huwa zaniwasha ile mbaya
 
I love my short hair,naamin naonekana mrembo zaid kuliko nikiweka hizo za bandia,japokua baadhi ya watu wanasema ni ushamba kuwa na nywele fup!!!
Ila bora ushamba wa kuepukana na harufu....gharama na muda wa kushinda saloon........!

haha sasa hum sa hivi kila mtu atajifanya I love my short hair.........

natural lol
 
katika vitu sivipend kwa wanawake ni hayo ma wigi yao!! mamaaaaaaaaaaaaaa sipend sipend balaaaaaa!!

unakuta mdada kavaa wigi chafu mpaka lime badilika rangi alafu kwa pembeni unaona nywele zake orgnal na ni nzuri mara 3 me najiulizaga kwa nini wanayavaa??

kuna wengne ki ukweli akivaa utapenda na wanayaosha na kuyahudumia kama nywele zenyewe!!

naa kuna wengne..........................(naogopa)
 
Sisi tuliamua kumvua huyu!

Biashara+ya+Urembo+inazidi+kushika+Kasi,+hapa+wakazi+wa+Mji+wa+Moshi+wakijaribu+kupata+mahitaji+ya+Nywele+za+Bandia.JPG
 
I always hate minywele ya bandia, utamkuta mdada na minywele yake ya bandia kila wakati anazishikashika, za kwako hizo mmmmh. Huwa najiuliza mtu akizichezea au akishikwashikwa nywele zake asilia anajisikia hivyo hivyo kama vile anavyoshikwa nywele zake za bandia (wigi)
 
Ha ha haaaaaaaaa viwigi, bonding,human hair, piece, fake braziliani kushoneaaaa na makolombwezo yyyyoteeeeee mupoooooooooooo!!!!!!!!!

Shurti kuunukisha mto hapo bedini!!!!!

Kila saa hani hag mi,mara ooonh nilale kifuani kwako??!!!!

Usiombe apigwe na mvua sasa!!!!!

Hebu fanyieni kazi hii.... kansa za mapafu zinasababishwa na mengi!!!!!!!

Salamu ziwafikie wafuatao

lara 1 vp mamii hand drier haifanyi kazi??????
Heaven on earth kama shampoo imekwisha pale kwa mama naonaga chupa ya tancho!!!!!
Christine Ibrahim salon mpaka home ni dakika ngapi???!!!!
mimi49 ukilitoa hilo wigi ukaoshe kwanza kabla ya kushonea jingine
Kongosho my dada hizo zako si majimoto hebu osha bana afterall zitatokea na mtindo mupyaaaa!!!!!!!

...mkuu! Umefanyakazi ya ziada...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom