Fanyieni usafi nywele zenu za bandia

Fanyieni usafi nywele zenu za bandia

kbm, hujamtendea haki muhusika, maana umemwacha bila kumwambia alivyo KERO kwa wengine kwa kutozingatia usafi wa nywele zake
 
Last edited by a moderator:
Hii haina ubishi nadhani hawajui yale manywele yasipotunzwa au kusafishwa yananuka. Kwani ni lazima kuvaa hayo manywele??
Wadada nywele zenu za asili zimeenda wapi??? Halafu hamjui tu, hayo ya bandia wengi wenu hayawapendezi, wengi mnaonekana kama misukule au wanasesere!!
Hata ofisini, hata kwenye que za banks unasikia harufu. Samahani lakini nawaambia kiroho safi!!!
 
hizi nywele za bandia zilinishinda harufu,kuwasha yaani mradi tabu tupu..
kamma utunzaji umekushinda baki na nywele zako au kata ziwe fupi kabisa
 
Ha ha haaaaaaaaa viwigi, bonding,human hair, piece, fake braziliani kushoneaaaa na makolombwezo yyyyoteeeeee mupoooooooooooo!!!!!!!!!

Shurti kuunukisha mto hapo bedini!!!!!

Kila saa hani hag mi,mara ooonh nilale kifuani kwako??!!!!

Usiombe apigwe na mvua sasa!!!!!

Hebu fanyieni kazi hii....kansa za mapafu zinasababishwa na mengi!!!!!!!

hahahahahahahahahahaha!! Looooh!!!! U made my day mkuu wangu!! Bora yangu nsiyependa kaa na nywele long tyyyme!! Mweh!! Kwahyo hao ulowataja ndo hawaoshag nywele zao au?umenimix kidog!!!
 
Ila kweli aiseee!!! Inakeraaaaa! Miye najiulzaga hvi mtu anakuwa hajisikii au? Miye nsipopenda kukaa na minywele kichwani especialy hiyo miwiving naonaga mizigo tuu!hata nikisuka zikikaa wiki tu namwita mtu embu ninuse kwanza loh!! yan usuke wiving alafu ukaooshe?? Nahsi ni uchafu mwingnee!! bora kufumua tu!! Huna hela za kusukia nyoooa!!! Raha ya uanamke usafi idara zote ebooh!!!
 
...Na kilio changu kingine ni makwapa, makwapa machafu mpaka yanatoa unga unga? wanawake kuweni wasafi bwana!

Bwa!bwa!bwa!
Msinivunje mbavu jamani.
Unga unga tena,
jamani, kweli mmetuchoka.
 
wapeni maneno yao maana mtu unamuona kapendeza ila msogelee utadhani kabeba mizoga ya panya
 
upo kwenye foleni bank , huo uvundo wa nywele mpaka unarudi nyuma ya mstaria au unaahirisha kuchukua mkwanja,,,,,,,,,,,,,

wengine kwapa zimejaa chumvi mpaka zimegeuka kuwa za njano kama amepakaa sukari halafu anavaa Top iliyokatwa mikono kama singilendi
 
mie hiyo mizigo ya kizungu siiwezi,,, nywele nimekata nimetia zangu wevu nimemaliza!!!! huo usistaduu wa ma brazillian nimewaachia wadada wa mujini.
 
Tatizo wameshakariri kwamba msichana akiwa na nywele za Kidhungu ndio anaonekana mzuri.
 
Ha ha haaaaaaaaa viwigi, bonding,human hair, piece, fake braziliani kushoneaaaa na makolombwezo yyyyoteeeeee mupoooooooooooo!!!!!!!!!

Shurti kuunukisha mto hapo bedini!!!!!

Kila saa hani hag mi,mara ooonh nilale kifuani kwako??!!!!

Usiombe apigwe na mvua sasa!!!!!

Hebu fanyieni kazi hii....kansa za mapafu zinasababishwa na mengi!!!!!!!

hahahahahahahahahahaha!! Looooh!!!! U made my day mkuu wangu!! Bora yangu nsiyependa kaa na nywele long tyyyme!! Mweh!! Kwahyo hao ulowataja ndo hawaoshag nywele zao au?umenimix kidog!!!


Tena na.wewe nilikusahau!!!!!!

Last time nilipokuambia acha ubahili wa kubania perfume nilikuwa namaanisha kiwigi kinatema mpaka perfume imemezwa!!!!!!!!

Ukaoshage banaaa,mtu m cute na ka smell wapi na wapi!!!
 
Ha ha ha ha, mie napenda zaidi nywele zangu kuliko wigi. Japo huwa naweka once in a while, lakini nikiweka, natoa na kutupa. Nikitaka kuweka tena nanunua mpya. Hii kuosha na kuset, saloon wakikosea tu au ukinyeshewa ni hatari. Afu kitu kingine wigi zikikugusha zinawasha ngozi, ndio maana sizipendi.

Ticha moja skuli lilikuwa linatupiga mkwara kwa kusema nikikukuta nje wakati wa vipindi nitakutoa demo!!!!!!

Ole wako my dada nije kukuta una ka smell hata ka mbaaaaali...nitaweka heshima kando nikutoe demo!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom