mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Hahah siku hizi wanapaka Viksi kwny kichwa cha "ndonga" pale.Mkristo kasimamia kucha mixer mchuzi wa pweza + Vumbi la Congo....
Hahah siku hizi wanapaka Viksi kwny kichwa cha "ndonga" pale.Mkristo kasimamia kucha mixer mchuzi wa pweza + Vumbi la Congo....
Na kweli amejifanya kama anajikuna hivi.
Binti anajitambua yuleDuuu mbona wakihama kutoka kwenye Ukristo kwenda kwenye Uislamu hawauwawi ?
Hizi dini hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Umepiga mule mule,ahahahaaa.
Yule Bibi alisema uislamu ni unyenyekevu sijui atasemajeYule mbibi faiza foxy aje ajionee mambo huku.
Du..mtoto mkali Warabu wasipo vaa ijabu ..wanpendeza ..mwache akale bata za Canada
Acha kujipa moyo ww bibi, kikubwa ni Msaudia kakimbia uislamHuyo upo uzi wake hapa hapa JF tumeshaweka comments zetu.
Hata sura yake inaonesha huyo ni mhindi na si Msaudi, kacheza game huyo apate ukimbizi na hifadhi.
Cheza na wadosi akili kubwa.
Hiyo game mbona inachezwa sana na wadosi.
Anajua nini Huyo Mwarabu mweusi zaidi ya Ubishi tu!huyo sio mhindi baba yake ni governor huko saudi arabia
Swali lako linaweza kukupa jibu zuri zaidi juu ya Dini ya sahihi ni ipi!Duuu mbona wakihama kutoka kwenye Ukristo kwenda kwenye Uislamu hawauwawi ?
Hizi dini hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni msaudia bibi acha unafikiHuyo upo uzi wake hapa hapa JF tumeshaweka comments zetu.
Hata sura yake inaonesha huyo ni mhindi na si Msaudi, kacheza game huyo apate ukimbizi na hifadhi.
Cheza na wadosi akili kubwa.
Hiyo game mbona inachezwa sana na wadosi.
Huyo anataka asylum tu.
Kwanza nyimbo zilikuwa mtoto wa Governor, kuwaonesha majina ya magovernor wote wa Saudi Arabia na uongo wenu kuwa batili sasa kawa msaudia tu wa kawaida!
Ndio ashahama hiyo dini yako yuko huko Canada kule ulikokuwa unaishiKwanza nyimbo zilikuwa mtoto wa Governor, kuwaonesha majina ya magovernor wote wa Saudi Arabia na uongo wenu kuwa batili sasa kawa msaudia tu wa kawaida!
Mnachekesha kwa ujuha wenu.