hekimanyingi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 679
- 573
Pole yake,bora amefika kwa wakristo,atakuwa salama.Hiyo dini nyingine,hakuna kuhoji,ni ama unabaki ndani,au utoke,upoteze maisha,Mungu wao amewapa amri kuua yoyote anayekwenda kinyume na maagizo ya bwana Mtume,na Mungu wake.View attachment 992399
Binti Raia wa Saudia Rahaf Mohammed Alqunun (18) ambae alikimbilia nchini Thailand akihofia kuuawa na familia yake baada ya kujitoa kwenye dini ya Kiislamu amepatiwa hifadhi na Serikali ya Canada nchini humo.
Hata awe mchina, kila mtu ana haki ya kuchagua dini anayoipenda.Huyo upo uzi wake hapa hapa JF tumeshaweka comments zetu.
Hata sura yake inaonesha huyo ni mhindi na si Msaudi, kacheza game huyo apate ukimbizi na hifadhi.
Cheza na wadosi akili kubwa.
Hiyo game mbona inachezwa sana na wadosi.
Kwa upanga shingoni lazima ukubali tuu.
Sasa hako ka Moja tuu! Msikilizenni gwajiiima kwa makundi huko ulimwenguni hadi inampata hofu ya is
Huyo upo uzi wake hapa hapa JF tumeshaweka comments zetu.
Hata sura yake inaonesha huyo ni mhindi na si Msaudi, kacheza game huyo apate ukimbizi na hifadhi.
Cheza na wadosi akili kubwa.
Hiyo game mbona inachezwa sana na wadosi.
Safi sana Dada kuachana na Giza na kuingia nuruni Yesu Kristo akulindeView attachment 992399
Binti Raia wa Saudia Rahaf Mohammed Alqunun (18) ambae alikimbilia nchini Thailand akihofia kuuawa na familia yake baada ya kujitoa kwenye dini ya Kiislamu amepatiwa hifadhi na Serikali ya Canada nchini humo.
Safi sana Dada kuachana na Giza na kuingia nuruni Yesu Kristo akulinde
Ameze panadolHata awe mchina, kila mtu ana haki ya kuchagua dini anayoipenda.
Hii ni habari mbaya sana kwako ila vumilia tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo sio mhindi baba yake ni governor huko saudi arabiaHuyo upo uzi wake hapa hapa JF tumeshaweka comments zetu.
Hata sura yake inaonesha huyo ni mhindi na si Msaudi, kacheza game huyo apate ukimbizi na hifadhi.
Cheza na wadosi akili kubwa.
Hiyo game mbona inachezwa sana na wadosi.
Mkristo kasimamia kucha mixer mchuzi wa pweza + Vumbi la Congo....
Utamuona wapi yuko busy kumtetea CAGYule mbibi faiza foxy aje ajionee mambo huku.
Huko kwa makundi na makundi kuna uhuru. Lakini Saudia ama uarabuni hakuna kuruhusu hata biblia na ukibadilisha dini ni kifo. Kwa iyo that girl is one in a millionSasa hako ka Moja tuu! Msikilizenni gwajiiima kwa makundi huko ulimwenguni hadi inampata hofu ya is
Mkristo kasimamia kucha mixer mchuzi wa pweza + Vumbi la Congo....
Porojo hizo, ma Governor wa Saudi Arabia wote ni Royal Family na hakuna Royal Family wa Saudi Arabia mwenye (surname) jina Kanoni.huyo sio mhindi baba yake ni governor huko saudi arabia
Aah hizo habari za kizushi, eti mtoto wa Governor! Khaa kuna Governor wa Sandia anaitwa kanoni?Hata awe mchina, kila mtu ana haki ya kuchagua dini anayoipenda.
Hii ni habari mbaya sana kwako ila vumilia tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shutuma zipi bwana JUMA.This is personal attack , hivi dada wa watu anajisikiaje kwa shutuma zenu ?
Sent using Jamii Forums mobile app