urmi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 222
- 263
let3 ushahidi allah anataka mtu auawe akibadili diniHapo ndio napo pata shaka na huyo allah wanae muabudu,,,kivipi watu waue mtu kisa anabadili dini?
Sent using Jamii Forums mobile app
let3 ushahidi allah anataka mtu auawe akibadili diniHapo ndio napo pata shaka na huyo allah wanae muabudu,,,kivipi watu waue mtu kisa anabadili dini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie sina hizo chuku naona wewe ndo unakuja juu....binti kabadili dini huyo....hutaki....wanataka kumuua huyo hutaki......amekuwa akinyanyaswa na familia yake hutaki.....amekuwa akifungiwa ndani na kukatwa nywele zake huyo hutaki......Sasa ameamua kutafuta hidhafi Canada na kuachana na dini ya kiislam hutaki.....unataka nini Sasa.....
Hizi dini ni tatizo kubwa sana asee, So wanataka kukata kichwa yake kisa dini, kwani wataenda naye huko peponi. (kama ipo basi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakuwa ana asili ya kihindi,huwenda huu mchezo umechezwa ili aingie nchi za ulaya kiulaini,wahindi wajanja sana.View attachment 992399
Binti Raia wa Saudia Rahaf Mohammed Alqunun (18) ambae alikimbilia nchini Thailand akihofia kuuawa na familia yake baada ya kujitoa kwenye dini ya Kiislamu amepatiwa hifadhi na Serikali ya Canada nchini humo.
Huyu atakuwa ana asili ya kihindi,in ujanja wa kuingia nchi za ulaya ,apate uraia kiulani,watu wenye asili ya kihindi ni wajanja sana,usiwaamini kiurahisi,kwao masilahi mbele,kuliko kitu chochote kingine.Tunashukuru Canada imempa hifadhi binti huyu jasiri.
Najua ujasiri wa binti huyu ni habari mbaya kwa FaizaFoxy
Sent using Jamii Forums mobile app
Dini ya haki inaruhusu kuua.hiyo ni haki yake kuawa kwa mujibu wa quran tukufu.View attachment 992399
Binti Raia wa Saudia Rahaf Mohammed Alqunun (18) ambae alikimbilia nchini Thailand akihofia kuuawa na familia yake baada ya kujitoa kwenye dini ya Kiislamu amepatiwa hifadhi na Serikali ya Canada nchini humo.
Huko nchi za ulaya waislamu wamejaa tele mbona hawatoki kwenye uislamu.Kuna ukweli ambao hausemwi kuhusiana na uislam hata hivyo uislam unawajua dosari kubwa.
Watu wengi Sana wanataka kutoka nje ya uislam ila wamefungwa na sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili jeKwanza nyimbo zilikuwa mtoto wa Governor, kuwaonesha majina ya magovernor wote wa Saudi Arabia na uongo wenu kuwa batili sasa kawa msaudia tu wa kawaida!
Mnachekesha kwa ujuha wenu.
Hayo ni maoni ya watu, hata hilo jina ni tofauti na huyu anaeongelewa hapa.
Leta ushahidi wapi nimesema allah anataka mtu auawe akibadili dinilet3 ushahidi allah anataka mtu auawe akibadili dini
Huko nako kama ulipewa mali na wakati ukiwa mkristo halafu ukahama dini basi wanachukua vitu vyao vyote hadi vijiko na kutengwa juu,mara nyingi unakuta hao wanaohama dini wanachangiwa fedha na waislamu.Duuu mbona wakihama kutoka kwenye Ukristo kwenda kwenye Uislamu hawauwawi ?
Hizi dini hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani cha ajabu kipi?Hapo ndio napo pata shaka na huyo allah wanae muabudu,,,kivipi watu waue mtu kisa anabadili dini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona hapa bongo waislamu wanabadili dini na hakuna lolote linalowabana.Kuna ukweli ambao hausemwi kuhusiana na uislam hata hivyo uislam unawajua dosari kubwa.
Watu wengi Sana wanataka kutoka nje ya uislam ila wamefungwa na sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna msemo unasema mwanamke hana dini.Duh! Dada ana msimamo sana huyu!
Hamna cha ajabu hapo mbona hiyo kawaida sana, masikio yalishazoea kusikia taarifa hizo kuhusu waarabu tangu kitambo tu
Sasa mbona ulikuwa unashangazwa na hilo jambo?Hamna cha ajabu hapo mbona hiyo kawaida sana, masikio yalishazoea kusikia taarifa hizo kuhusu waarabu tangu kitambo tu
Sent using Jamii Forums mobile app