jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Cc FaizaFoxyView attachment 992399
Binti Raia wa Saudia Rahaf Mohammed Alqunun (18) ambae alikimbilia nchini Thailand akihofia kuuawa na familia yake baada ya kujitoa kwenye dini ya Kiislamu amepatiwa hifadhi na Serikali ya Canada nchini humo.