Kimbesa11
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 4,652
- 2,696
Licha ya heshima kubwa waliojijengea wafuasi na wanachama wa CCM nchini na Duniani kwa kudumisha uzalendo na kuheshimu utu wa watu, CCM ni chama cha kizalendo kwelikweli kwani Bado kinaamini kwenye falsafa ya uhuru na kujitegemea, hakimsujudu beberu yoyote kinajiamini kwenye utendaji kazi wake.
Imekiwa ni heshima mtu kujiita mwana CCM kutokana na heshima ya chama hiki Bora Tanzania, CCM imejijengea desturi ya unyenyekevu kwa watu wote,
Kwa CCM matusi ni mwiko, majiono ni mwiko, nk
Imekiwa ni heshima mtu kujiita mwana CCM kutokana na heshima ya chama hiki Bora Tanzania, CCM imejijengea desturi ya unyenyekevu kwa watu wote,
Kwa CCM matusi ni mwiko, majiono ni mwiko, nk