Mpaka sasa wote "wameingia mitini"!
Hakuna anaekutaka weweMpaka sasa wote "wameingia mitini"!
Mkuu, mapenzi kitu cha ajabu sana, nina hakika wapo wanao mpenda Faiza. So labda useme wewe ndio humpendi but wapo tena hope wapo wengi tu.Hakuna anaekutaka wewe
Wewe nielewe tu Bi dadaUna hela wewe?
Hali mke wa mtu...Dada unatufundisha nini wadogo zako?
Utamu bado upo!Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Kwa hiyo ndo umekuja kunianzishia uzi?Nataka niwafundishe heshima na adabu ya kuheshimu nyuzi na mada za watu. Utakuta jukwaa la siasa mtu eti anakutongoza. Alaaa.
Una hela wewe?Kwa hiyo ndo umekuja kunianzishia uzi?
Anyway, nilichokua nikikuambia ni kua nakuona una points sana saa zingine, kuna vitu vingi yaelekea wavijua. Sasa basi waonaje tukikutana faragha one day tukabadilishana mambo mawili matatu?
Tukikutana sio lazima iwe tu siasa, hata stories zingine, maisha yanaendaje hapa mjini, familia, michezo etc. Nimeku admire sana dada yangu, I wish nikuone face to face tupate wasaa wa kubadilishana mawazo.
Infact itakua ni faragha, sio kwa matangazo kama ile ya "Shangazi" na "HKigwa", ni hayo tu ndo nlikua nakuambia pale.
NinazoUna hela wewe?