Faiza foxy kweli kiboko!.

Faiza foxy kweli kiboko!.

Kajole

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,668
Reaction score
1,660
Habari wanajamii?,sio siri huyu dada/mama Faizafoxy maarufu kama FF namkubali sana kwenye post na uachangiaji wake. Yaani kama nisipopata kitu basi ntacheka sana the way ana-comment,.hongera sana..kama hutajari pls ni-PM umri na elim yako.
 
Ukianza shule mpya lazima utakutana na watu wababe wanaotumia nguvu kuwakubali na kuwaogopa;
Na ukitaka usalama wako ni lazima ujibendekeze.
Ndicho tunachokiona wageni JF wanaogopa maneno ya ukali na kutisha kwa hiyo wanaanza kujipendekeza.
 
Habari wanajamii?,sio siri huyu dada/mama Faizafoxy maarufu kama FF namkubali sana kwenye post na uachangiaji wake. Yaani kama nisipopata kitu basi ntacheka sana the way ana-comment,.hongera sana..kama hutajari pls ni-PM umri na elim yako.

Ulikuwa hujui kama FF ni kiboko yao. Humu jamvini yeye ni Celebrity namba moja. Na wala hatokei mwengine kwa sasa, labda afe. Mungu ampe maisha marefu yenye afya.
 
yeh .. namkubali sana FF ila swala la madactari kachemka mabaya saana kuwaita uchwara
 
Habari wanajamii?,sio siri huyu dada/mama Faizafoxy maarufu kama FF namkubali sana kwenye post na uachangiaji wake. Yaani kama nisipopata kitu basi ntacheka sana the way ana-comment,.hongera sana..kama hutajari pls ni-PM umri na elim yako.
mke wa mtu unamtakia nini umri? elimu? umetangaza ajira mkuu? FF anaother admirer.....mwaka huu wako mamie!
 
Ukianza shule mpya lazima utakutana na watu wababe wanaotumia nguvu kuwakubali na kuwaogopa;
Na ukitaka usalama wako ni lazima ujibendekeze.
Ndicho tunachokiona wageni JF wanaogopa maneno ya ukali na kutisha kwa hiyo wanaanza kujipendekeza.

point noted.
 
mmmmh naona vijana mnataka mkafanye mazoezi na bibi yenu
haya kazi kwenu hii ya kila kona FF nayo sometimes inaboa ati.
 
Habari wanajamii?,sio siri huyu dada/mama Faizafoxy maarufu kama FF namkubali sana kwenye post na uachangiaji wake. Yaani kama nisipopata kitu basi ntacheka sana the way ana-comment,.hongera sana..kama hutajari pls ni-PM umri na elim yako.

Wanchekesha sana
 
FaizaFoxy ni Nunda la JF..
Yaani akipigwa ban JF inapwaya sana..Ha! Haa! Haaa!
 
Hakunaga mwanamke kama Faiza.... hakunaga....


JF # 1 Celebrity Source: Faiza Mwenyewe.... Verified by response ya wana JF Wenyewe....
]
Usinilet down jamani.Mbona wewe ni zaidi yake au HUJITAMBUI???siku nyingine ntakuambia sababu .....
 
Habari wanajamii?,sio siri huyu dada/mama Faizafoxy maarufu kama FF namkubali sana kwenye post na uachangiaji wake. Yaani kama nisipopata kitu basi ntacheka sana the way ana-comment,.hongera sana..kama hutajari pls ni-PM umri na elim yako.

Ahsante kwa misifa.

Umri wangu ni around 50

Elimu yangu ni ya Madrasa't Jamiatul Islamiya fi Tanganyika.

Kama kuna "feature" ambayo siipendi humu JF basi ni hiyo ya PM.

Ahsante Kajole, wengine hawapendi hiyo na watakuchukia kwa kunipenda hawajui kuwa "hii ni bahati yangu" - Sabah Muchacho (wifi langu).
 
Ahsante kwa misifa.

Umri wangu ni around 50

Elimu yangu ni ya Madrasa't Jamiatul Islamiya fi Tanganyika.

Kama kuna "feature" ambayo siipendi humu JF basi ni hiyo ya PM.

Ahsante Kajole, wengine hawapendi hiyo na watakuchukia kwa kunipenda hawajui kuwa "hii ni bahati yangu" - Sabah Muchacho (wifi langu).

Aah FF mbona umeishorten CV yako hivyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom