Faiza foxy kweli kiboko!.

yeh .. namkubali sana FF ila swala la madactari kachemka mabaya saana kuwaita uchwara

Mie nilikuwa wa mwanzo kuwatetea na nilisema wanafaa walipwe 5M, wameniudhi walipokosa nidhamu na kumgandisha Waziri Mkuu, ule ni ukosefu wa adabu na kujifanya wao ni bora.
 
FF hana kitu. Anahaha kushoto na kulia ili kumwaga sumu. Ila sasa kapitiliza na watu wameshaanza kumpuuza kama Malaria Sugu. Itabidi aje na jina jingine maana hili watu wameshaanza kulichoka.

Ukianza kubishana naye, basi wee unakuwa Mpumbavu. Si mnakumbuka ule msemo?

Halafu ni mwepesi sana maana jana nilimvurumisha kwa maneno na wala hakujibu tena kitu.

Ukitaka kumpatia FF, basi jiingize kwenye ubongo wake na uanze kuongea kama yeye.

Ukijifanya una busara kwa FF eti unamuelimisha, basi unatwanga maji. Utamuelimishaje anayeelewa?

Ndiyo maana dr. Slaa anasema waziwazi kuwa FF anapotosha umma.

FF mpenzi, leo nimepata ubani wa nguvu bila Konyagi na Viagra pori. Ntafanya tena jaribio na kuchoma ubani na kukuita.
 
Haki ya NANI tena, nimepata THANKS kutoka kwa FF...... Ntakuja kesho JAMIIFORUMS.

Nina furaha hadi basi tu. Ngoja niende Sikonge Sec. nikawape vijana elimu na kuwaambia, leo nimeambulia THANKS kutoka kwa Mama Mgumu wa JF yaani FF mwenyewe. Ukisikia Ngosha nimekuwa maarufu basi ni sasa.

FF hana kitu. Anahaha kushoto na kulia ili kumwaga sumu. Ila sasa kapitiliza na watu wameshaanza kumpuuza kama Malaria Sugu. Itabidi aje na jina jingine maana hili watu wameshaanza kulichoka.

Ukianza kubishana naye, basi wee unakuwa Mpumbavu. Si mnakumbuka ule msemo?

Halafu ni mwepesi sana maana jana nilimvurumisha kwa maneno na wala hakujibu tena kitu.

Ukitaka kumpatia FF, basi jiingize kwenye ubongo wake na uanze kuongea kama yeye.

Ukijifanya una busara kwa FF eti unamuelimisha, basi unatwanga maji. Utamuelimishaje anayeelewa?

Ndiyo maana dr. Slaa anasema waziwazi kuwa FF anapotosha umma.

FF mpenzi, leo nimepata ubani wa nguvu bila Konyagi na Viagra pori. Ntafanya tena jaribio na kuchoma ubani na kukuita.

FaizaFoxy likes this.
 
Habari wanajamii?,sio siri huyu dada/mama Faizafoxy maarufu kama FF namkubali sana kwenye post na uachangiaji wake. Yaani kama nisipopata kitu basi ntacheka sana the way ana-comment,.hongera sana..kama hutajari pls ni-PM umri na elim yako.

tuhakikishie kwanza weye siye yeye
 
Ukianza shule mpya lazima utakutana na watu wababe wanaotumia nguvu kuwakubali na kuwaogopa;
Na ukitaka usalama wako ni lazima ujibendekeze.
Ndicho tunachokiona wageni JF wanaogopa maneno ya ukali na kutisha kwa hiyo wanaanza kujipendekeza.

ha ha ha. hii swaaf
 
Ukianza shule mpya lazima utakutana na watu wababe wanaotumia nguvu kuwakubali na kuwaogopa;
Na ukitaka usalama wako ni lazima ujibendekeze.
Ndicho tunachokiona wageni JF wanaogopa maneno ya ukali na kutisha kwa hiyo wanaanza kujipendekeza.

he he he e e halo halo!
 
mmmmmh,kuna mijitu mingine bwana kwa wivu,kuna watu walitaka niwasifie wakati hamna walichofanya hapa JF. Hongera FF ila hapo kwny khaaaa!.
 
Hehehe dah!

Sasa inaonesha kweli huyo Faiza mtu maarufu kama hadi Dr Slaa anamjibu hoja zake dah! anywayz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom