FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,190
yeh .. namkubali sana FF ila swala la madactari kachemka mabaya saana kuwaita uchwara
Mie nilikuwa wa mwanzo kuwatetea na nilisema wanafaa walipwe 5M, wameniudhi walipokosa nidhamu na kumgandisha Waziri Mkuu, ule ni ukosefu wa adabu na kujifanya wao ni bora.