Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,413
- 11,065
Asofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.
Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.
Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.
Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.
Ni hayo tu kwa uchache.
Wadiz
Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.
Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.
Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.
Ni hayo tu kwa uchache.
Wadiz