Kwa Wanaume kuoa ni Jehanamu ya Kujitakia . Kataa kuoa uishi kwa amani hapa Duniani

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,413
11,065
Asofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.

Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.

Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.

Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.

Ni hayo tu kwa uchache.

Wadiz
 
Asofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.

Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.

Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.

Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.

Ni hayo tu kwa uchache.

Wadiz
Hao wazazi ambao hawajakufunza, wao wanakuwa waliowana au hawakuowana..!!?
 
Natamani wanawake wote waweke msimamo madhubuti kuwa:-

"HAKUNA NDOA HAKUNA MBUSUSU"

halafu tuone kama akina #Kataa Ndoa hamtapoteana
Unaishi dunia gani mkuu, huelewi pia kama kuna wanawake ambao ambao hawataki kabisa kusikia neno NDOA????

Kwahiyo unazani kila mwanamke anawish kuingia kwenye ndoa mkuu???
 
Unaishi dunia gani mkuu, huelewi pia kama kuna wanawake ambao ambao hawataki kabisa kusikia neno NDOA????

Kwahiyo unazani kila mwanamke anawish kuingia kwenye ndoa mkuu???
Wanawake wasiotaka ndoa (kama wapo) ni wachache mno. Na ndiyo wale ambao hupenda waingie kwanza ndoani, baadaye wanazusha migogoro ili watoke
 
Asofunnzwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, huu msemo utaishi mpaka kiama.

Ni sawa na kusema katika nyakati ambazo wanawake wanapoteza uanamke wao na kuvaa joho la uanaume katka nafsi zao.
Kwa muktadha huu ndoa nyingi wanaume ni kama wanajiwekea njia madhubuti ya umauti wao.

Hivyo ili kuyaishi maisha marefu na kuikimbia Jehanamu yawapasa wanaume kuacha kabisa habari na fikra za kuoa.

Ikimbie Jehanamu achana na kitu kuoa.

Ni hayo tu kwa uchache.

Wadiz
Mwanaume Kataa ndoa ili na wewe ukaolewe.........make it this way.
 
Wanawake wasiotaka ndoa (kama wapo) ni wachache mno. Na ndiyo wale ambao hupenda waingie kwanza ndoani, baadaye wanazusha migogoro ili ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ
๐—›๐—ถ๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐—ถ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚, ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ฝ๐—ผ,, ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—ผ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐—ต๐—ผ๐—ท๐—ถ, ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฎ๐˜€๐—ผ๐—ป๐˜€ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ผ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—ผ.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom