Faida 04 za kijana kuoa ukiwa na miaka 20

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,590
15,385
Ukomavu wa utu uzima unaanza mtu akifikisha miaka 20. Utu uzima unaanza akifikisha miaka 13. Kimsingi mwenyezi Mungu hatambui kitu mnachokiita Teenagers/Adolescents au foolishage. Miaka 13~19 ni mtu mzima anayejianaa kuoa akihitimu 20s.

Ziko faida nyingi wazazi wakiwaandaa vijana wao kukomaa ili kufikia miaka 20 wawe na uwezo wa kuoa.

1: Ni umri sahihi wa ukomavu wa kijana kukaa na mke. Anaoa akiwa amekomaa bila kupitiliza.

2: Ana nguvu za kutosha kufanya masahihisho ya makosa akiwa bado anamwili wenye nguvu.

3: Akifikisha miaka 40, yaani mtu mzima mkomavu mtoto wake anakuwa na miaka 20. Mtu mzima.
Anawahi kutua majukumu ya malezi na kusomesha.

4: Anabaki na muda mwingi wa kuendelea kumfurahia mke wake ukubwani huku watoto wakiwa wameshajitegemea. Kumbuka wewe ni mwili mmoja na mkeo sio na watoto wako. Watoto ni wapitaji tu unepewa na Mungu uwavushe.

Ni hayo tu.
 
Ukomavu wa utu uzima unaanza mtu akifikisha miaka 20. Utu uzima unaanza akifikisha miaka 13.

Ziko faida nyingi wazazi wakiwaandaa vijana wao kukomaa ili kufiki miaka 20 wawe na uwezo wa kuoa.

1: Ni umri sahihi wa ukomavu wa kijana kukaa na mke. Anaoa akiwa amekomaa bila kupitiliza.

2: Ana nguvu za kutosha kufanya masahihisho ya makosa akiwa bado anamwili wenye nguvu.

3: Akifikisha miaka 40, yaani mtu mzima mkomavu mtoto wake anakuwa na miaka 20. Mtu mzima.
Anawahi kutua majukumu ya malezi na kusomesha.

4: Anabaki na muda mwingi wa kuendelea kumfurahia mke wake ukubwani huku watoto wakiwa wameshajitegemea. Kumbuka wewe ni mwili mmoja na mkeo sio na watoto wako. Watoto ni wapitaji tu unepewa na Mungu uwavushe.

Ni hayo tu.
Mkuu... Unakitu....
 
Atamlisha nn mzee. Economically hayupo stable.
Kwa familia makini. Mzazi hatafuti mali kwa ajili yake tu. Anatakiwa kutafuta hadi kwa wana wa wana wake (wajukuu) ili kuwaboost kuwapa kianzio cha maisha ili wao wasonge mbele.

Kwa umri huo pia anatakiwa kuwa ameivishwa na kuwa na uwezo wa kuingiza kipato. Haihitaji degree ndio upate hela za kulisha mke. China kuna mabilionea wengi sana under 22.

Ni mindest za umasikini tu ndio zinatupa hii hofu dhaania.
 
Watu wapo class

Na wengi tegemeo ni heslb
Siku ya kwanza naingia first year, Prof Mkandala alisemea " You were boys and Girls, now you are Ladies and Gentlemen ".

Sio dhambi first year kuoa au kuolewa. Ikiwa anaweza kumpa mimba binti na akamzalisha bila kumuoa.
 

Kwa mazingira dunia ya sasa na nchi yetu hili kwa mtoto wa kiume haliwezekani kabisa.

Litawezekana kama ataamua kuishia darasa la saba na akaanza kujiajiri, kinyume na hapo tutatengeneza familia za watu wasiojiweza. Baba hajiwezi, mama hajiwezi na mtoto ndio kabisa.

Kuna watu hadi wanafikisha miaka 35 hawajaweza kuwa kuwa na pato la kuaminika.
 
Ukomavu wa utu uzima unaanza mtu akifikisha miaka 20. Utu uzima unaanza akifikisha miaka 13.

Ziko faida nyingi wazazi wakiwaandaa vijana wao kukomaa ili kufiki miaka 20 wawe na uwezo wa kuoa.

1: Ni umri sahihi wa ukomavu wa kijana kukaa na mke. Anaoa akiwa amekomaa bila kupitiliza.

2: Ana nguvu za kutosha kufanya masahihisho ya makosa akiwa bado anamwili wenye nguvu.

3: Akifikisha miaka 40, yaani mtu mzima mkomavu mtoto wake anakuwa na miaka 20. Mtu mzima.
Anawahi kutua majukumu ya malezi na kusomesha.

4: Anabaki na muda mwingi wa kuendelea kumfurahia mke wake ukubwani huku watoto wakiwa wameshajitegemea. Kumbuka wewe ni mwili mmoja na mkeo sio na watoto wako. Watoto ni wapitaji tu unepewa na Mungu uwavushe.

Ni hayo tu.
5. Ni muda mzuri WA kulea watoto kwa malezi Sahihi, zaidi ya hapo unalea kama mjukuu. Vijana oeni mapema, I wish ningerudisha miaka nyuma.
 
Siku ya kwanza naingia first year, Prof Mkandala alisemea " You were boys and Girls, now you are Ladies and Gentlemen ".

Sio dhambi first year kuoa au kuolewa. Ikiwa anaweza kumpa mimba binti na akamzalisha bila kumuoa.
HOja yako imeeleweka mkuu nasisi tunakazia sehemu ya uchumi, mfano ukichukua kijana wa miaka 22 aliyopo mjini na mwingine kijijini hawa ni age mates lakini ni watu wawili tofauti kabisa unless labda huyu wa mjini shule iwe ilimkataa ndo anaweza akawa level moja na yule wa kijijini, town kuna vitu vinachelewa
 
Wale watu tunaoamini maandiko, miaka 20 walitakiwa kuwa wameoa. Ndio maana walilipa kodi za hekaluni na walistahili kwenda vitani maana hata wakifa wameacha mbegu nyumbani.


Hii kitu ninayoisema iko vizuri na ni sahihi hawa kwa wazazi kuanza kuwaandaa vijana wao wanapofikisha miaka 13.
Fikra za watanzania inabidi zibadilike.... Kama shule mtoto awahi kumaliza.. na pia wawafundishe kazi za mikono na kuwapa majukumu hata bado wakiwa wanasoma.... Hata akifika miaka 20 ndoa hatoona mzigo kwakee
 
5. Ni muda mzuri WA kulea watoto kwa malezi Sasa, zaidi ya hapo unalea kama mjukuu. Vijana oeni mapema, I wish ningerudisha miaka nyuma.
Ni kweli mkuu. Unanguvu za kutosha kupambana na dogo mguu kwa mguu. Sio unazaa unamiaka 50, dogo akifikisha 5 yuko Pre unit au chekechea wewe unatakiwa utaafishwe kwa hiyari na unaishi kwa wasiwasi huku unanyemelewa kwa kasi na magonjwa yasiyambukiza.

Unaachia dunia mzigo.
 
Hakuna kanuni ya maisha. Kuna ambao wameoa mapema ila watoto wao wa mwishoni ambao wamewapata katika umri wa 40s lakini wakaanza kujitegemea kabla ya watoto waliopatikana wakiwa na 20s
 

Kwa mazingira dunia ya sasa na nchi yetu hili kwa mtoto wa kiume haliwezekani kabisa.

Litawezekana kama ataamua kuishia darasa la saba na akaanza kujiajiri, kinyume na hapo tutatengeneza familia za watu wasiojiweza. Baba hajiwezi, mama hajiwezi na mtoto ndio kabisa.

Kuna watu hadi wanafikisha miaka 35 hawajaweza kuwa kuwa na pato la kuaminika.
Shida sio umri ni uwezo wa kutengeneza kipato? Kwa hiyo kama mimi nimepata huo uwezo nikiwa na miaka 100 ndio angalau nianze kutafuta mchumba?

Miaka 20 ndio peak age kwa kijana kutengeneza kipato. Atakuwa amekomqa kimwili na kiakili. Delay imesababishwa na doctrine ya foolishage. Kiukweli hakuna kitu kama hicho ni propqganda za magharibi. Kijana kwa miaka 13 hadi 19 akiaminishwa ni mtu mzima anayejuandaa na jukumu mahususi 20s atafika akiwa na ukomavu mkubwa.
 
Back
Top Bottom